Kesho jumatano saa 3 asubuhi maandamano kuanzia kituo cha haki ya sheria tafadhali mwambie mwenzako

kitenda cha kutaja mizimu ituongoze umenikata siji
sijui umejuaje ndichonilichotaka kumwambia..anyway hata yule wa uganda aliwamaliza hivi hivi wakajazana kanisani akafunga milango likachomwa moto kumbe katokea mlango wa nyuma
mwenye macho naa aone masikio na asikie kuna familia kila mwezi fulani lazima wachinje ngombe wakishindwa wanatafuta damu so msipokuwa makini mtakuwa kafara za watu hapo unamwona na corrola ya kizamani wakichpwa watu makofi wanaumia damu zinatoka keshokutwa unamkuta na vog..na wala akuulizi we uliwekwa ndani unaendeleaje
 
hUYU JAMAA ANAHANGAIKA SANA
MAANDAMANO US
MAANDAMANO MLIMANI CITY
MAANDAMANO LHRC
MWISHO SIJUI UTASEMA NINI
 
Katika nchi ambayo tuna mambo mengi ya kusababisha kuandamana na kupiga kelele ni hii...hakuna kitu ambacho kipo sawa mpaka sasa...kwa hiyo wewe nenda kaandamane utuwakilishe na sisi wa mikoani.Wakikuuliza waambie nchi aieleweki.

Mkuu uko mkoa gan?
 
maandamo ndo suluhisho la serikali isiyo sikivu ss madaktari bingwa wamegoma na muhimbili hospitali kimbilio la walalahoi wametoa tangazo la kusitisha huduma,bugando.kcmc hali kadhalika afu jitu linafikiria kwa kutumia masabuli linauliza maandamano ya nn,bibi kiroboto bungeni leo kagoma ishu isiongelewe bungeni wala kupokea taarifa yeyote ile ss kisheria ilitakiwa asikirize kwanza taarifa au mwongozo ndo aukatae kwa mujimu wa sheria ss yy kaamua kukataa kabla hata hajausikiliza hapa kavinja katiba kwa vile hajatoa fursa kwa mbinge aongee kwanza ndo akatae,kesho ni kuingia barabarni na kuwapopoa kwa mawe viongozi wa serikali jamaani huko dodoma gari ya bibi kiroboto si mpige mafuta tu?mi mbeya nawakubali sana kwa kupopoa na mawe sijui wakiletwa hapa dar au wapelekwe dodoma patachimbika
 
Sina hamu ya maandamano. Watu huwa wanakusanyika kwa hamasa kuu ya kutorudi nyuma. Vitunguu vikianza kurushwa tu, watu wanatawanyika vibaya.
 
ukiunganisha thread za maandamano zinaweza kufika mia lakini hata moja hamna ilifanikiwa na kuhusu migomo nazo zipo ila iliyofanikiwa ni ya madaktari pekee yao.

MY take: kubali au ukatae mitanzania mioga ya maandamano huamini soma thread zote za maandamano humu jamvini.
RIP tanzania!
 
Kesho maandamano kuanza saa tatu asubuhi mbele ya kituo cha sheria na haki za binadamu kilichopo kijitonyama, nyuma ya chuo cha ustawi wa jamii. tafadhali kabla maafa ya hayajakuwa makubwa tuhudhurie bila kukosa kwa mapenzi mema ya nchi yetu

Allah awaongoze, Mungu awaongoze, Mizimu iwaongoze, Miungu iwaongoze. Uzalendo uwaongoze, upendo Uwaongoze, Budha awaongoze, Jah Awaongoze.....

Beba bango lenye ujumbe wako.
andamaneni tena msije mkabadili mawazo muda wa mwisho maana ndio zetu tukitishiwa nyau tu hao tuna rudi nyuma. nchi yetu haitabadilika hadi siku moja watu watakapoamua kuleta mapinduzi ya kweli nchi si ya serikali nchi ni ya watu waishio serikali ni chombo tu kilichopewa mamlaka ya kutawala. wachache wanaweza kukitumia vibaya kama wafanyavyo hapa kwetu. ikifikia hapo hatuna budi kukibadili kiwe tutakavyo. nimeichoka nchi hii inavyoendeshwa.
kama noma na iwe noma mtaani nendeni na ikiwezwkana asasi zingine za kiraia waunge mkono LHRC katika maandamano hayo ya amani woga tuache. hadi kieleweke
 
Sina hamu ya maandamano. Watu huwa wanakusanyika kwa hamasa kuu ya kutorudi nyuma. Vitunguu vikianza kurushwa tu, watu wanatawanyika vibaya.

malezi tuliyolelewa ndio yanayotupumbaza imani tulizojengewa ndio zinazoturudisha nyuma heshima tuliyopandikizwa ndio inayotulewesha muda ufike tubadilike enough is enough its time for change.
 
maandamano sio njia pekee ya kutatua tatizo

zingine zikishindwa hata hii si mbaya kutumia tena maandamano ya amani yanaweza yasifanye kazi kama wangeamua au tungeamua kufanya maandamano ya vurugu. unajua maandamano ya amani hufanya kazi pale serikali inapokuwa sikivu na inajali watu wake. lakini serikali kama yetu haiitaji maandamano ya amani inahitaji VURUGU ZA KUELEWEKA NA KUWAADABISHA WATU WAZUIAO MAENDELEO democracy will never work in salamodel of administration.
 
Siwezi kosa ngoja niandike bango tena litakuwa ndio chanzo cha mabomu ya machozi na maji ya muwasho,namkashifu kuanzia babu mpaka kitukuu wa hii wanayoiita serikali!!!
 
maandamo ndo suluhisho la serikali isiyo sikivu ss madaktari bingwa wamegoma na muhimbili hospitali kimbilio la walalahoi wametoa tangazo la kusitisha huduma,bugando.kcmc hali kadhalika afu jitu linafikiria kwa kutumia masabuli linauliza maandamano ya nn,bibi kiroboto bungeni leo kagoma ishu isiongelewe bungeni wala kupokea taarifa yeyote ile ss kisheria ilitakiwa asikirize kwanza taarifa au mwongozo ndo aukatae kwa mujimu wa sheria ss yy kaamua kukataa kabla hata hajausikiliza hapa kavinja katiba kwa vile hajatoa fursa kwa mbinge aongee kwanza ndo akatae,kesho ni kuingia barabarni na kuwapopoa kwa mawe viongozi wa serikali jamaani huko dodoma gari ya bibi kiroboto si mpige mafuta tu?mi mbeya nawakubali sana kwa kupopoa na mawe sijui wakiletwa hapa dar au wapelekwe dodoma patachimbika

bunge ambao ndio wawakilishi spika anasema hawawezi kujadili etiiiiiiiiiiiiiiii jambo hili linashughulikiwa haliwezi kujadiliwa nininininiii hiki na watu wanazidi kufa eti tuna bunge pole sisi watanzania kama hatutachukua hatua wenyewe mabadiliko tutayasikia kwa wenzetu
 
Back
Top Bottom