Kesho Jumamosi viongozi wakuu wa CHADEMA, ACT Wazalendo kuzungumza na Waandishi wa Habari-Makao Makuu ya CHADEMA

Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika.
umebadilika wewe labda ambaye una maslahi na hili.
Tamko: mimi kama mtanzania wa kawaida kabisa wa kipato cha wastani nitakua ndani nikisubiri ugali wangu dona na bamia langu nikisubiri wewe ukaandamane kama mwakilish wangu.SIANDAMANI
 
Back
Top Bottom