Wewe una ushujaa gani? Ingia road kesho tuonemimi ni mtu wa kudumu wa JF , siwezi kujificha kwa mambo kama haya yaliyofanyika kishamba kiasi kile , sisi ni mashujaa
Wewe una ushujaa gani? Ingia road kesho tuonemimi ni mtu wa kudumu wa JF , siwezi kujificha kwa mambo kama haya yaliyofanyika kishamba kiasi kile , sisi ni mashujaa
Tatizo la nchi hii ni kwamba iko mikononi mwa limbukeni na washamba wasiojua nafasi ya Tanzania katika Afrika na duniani. Waliokuwepo wakati wa Baba wa Taifa wanakumbuka ziara ya Mwalimu alipoitembelea Marekani na mapokezi na heshima aliyopewa hakuna Rais kutoka Afrika amewahi kupewa toka wakati huo labda tu ya Mandela ndiyo iliikaribia. Mwalimu pia alikaribishwa nchini Uingereza katika ziara ambayo haina mfanowe Afrika hadi leo.Wewe una ushujaa gani? Ingia road kesho tuone
Sema wewe usitusemee sisi watanzania tunaoendelea na kazi zetu baada ya kuchagua viongozi tunaowapenda na idadi yetu imetajwa na Tume.Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika.
Mkuu, kwa sasa heshima yetu kimataifa ni kubwa sana, hususan wakati huu wa utawala wa Magufuli. Si unajua foreign policy is justifiably regarded as an extension of domestic policy. Huu moto wa sera zetu nzuri za ndani chini ya uongozi wa JPM ndiyo moto wa diplomasia yetu pia nje. Tuko vizuri sana huko nje na Tanzania inaheshimiwa mno.Tatizo la nchi hii ni kwamba iko mikononi mwa limbukeni na washamba wasiojua nafasi ya Tanzania katika Afrika na duniani. Waliokuwepo wakati wa Baba wa Taifa wanakumbuka ziara ya Mwalimu alipoitembelea Marekani na mapokezi na heshima aliyopewa hakuna Rais kutoka Afrika amewahi kupewa toka wakati huo labda tu ya Mandela ndiyo iliikaribia. Mwalimu pia alikaribishwa nchini Uingereza katika ziara ambayo haina mfanowe Afrika hadi leo.
Nyakati hizo hukuhitaji viza kuingia Uingereza na nchi yoyote ya Jumuiya ya Madola, visa yako ilikuwa ni Utanzania wako tu. Lakini leo Tanzania inadharauliwa na inachekwa ikiwekwa kundi moja na mataifa ya ajabu ajabu. Mwakilishi wa Tanzania alipokuwa akiongea ndani ya Umoja wa Mataifa, dunia nzima ilisikiliza. Hiyo Tanzania ya siku hizo bado inakumbukwa huko nje kuliko inavyokumbukwa na baadhi ya viongozi tuliowasukumizia madaraka. Masikini Tanzania!
Na mamako akisokotwa anarusharusha miguu pia.Farasi akichinjwa lazima arushe rushe miguu
Huwa wanaangalia wa kuwapiga hivyo virungu sio kila mtu tu.HAPO NDIO SEHEMU YA MAMBOSASA KUTAFUTIA SIFA, NAJUA ATATEMBEZA VIRUNGU VYA KUTOSHA NA KUZUIA MKUTANO.
Mzee wa V80!!!!Ndio,wamemuomba huyu jamaa.View attachment 1616265
Nangoja ila hawana lolote!Kesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
Hahahaha. Pathetic.Kwa upumbavu iliyofanya tume na polisi hakuna watu kujitafutia kipato. Awamu hii mtaelewa kuwa watanzania wamebadilika.
Mlivyompokea baada ya hapo ikawaje ?Alipoingia Lisu tz akitokea Ulaya tuliambiwa hivyo hivyo tusiende kumpokea
Si tuliambiwa kutakuwa na polisi au ulikuwa kuzimuMlivyompokea baada ya hapo ikawaje ?
Saa ngapiKesho majira ya saa nne asubuhi viongozi wakuu wa CHADEMA na ACT Wazalendo kuzungumza na waandishi wa habari. Yatafanyika makao makuu ya CHADEMA mtaa wa Ufipa Kinondoni.
Stay tuned!
Mahakama zipo na sheria siyo bubu.Umoja wa kitaifa kwa ubaguzi huu na ubakaji wa demokrasia? Haki itendeke, bila haki hakuna umoja wa kitaifa.