nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Kuna wanawake watatu waliokuwa wabunge viti maalum chadema wamekihama chama na kujiunga ccm.
Kwa ushamba wa watu wanaotawala nchi wanasema eti wabunge watatu wameunga mkono juhudi.
Kwani hao wanatofauti gani na wanachama au wananchi wa kawaida?
Wameondoka hao watakuja wengine
Watanzani wangekuwa na akili, mwaka huu wasingepiga kura hata mmoja, hawa wanasiasa wajioigie wao na familia zao.
Maana mtu tumwamini kupitia chama fulani baadae anatuangusha. Kumbe nia yao siyo kutupigania kumbe ni kujaza matumbo yao.
Kwa ushamba wa watu wanaotawala nchi wanasema eti wabunge watatu wameunga mkono juhudi.
Kwani hao wanatofauti gani na wanachama au wananchi wa kawaida?
Wameondoka hao watakuja wengine
Watanzani wangekuwa na akili, mwaka huu wasingepiga kura hata mmoja, hawa wanasiasa wajioigie wao na familia zao.
Maana mtu tumwamini kupitia chama fulani baadae anatuangusha. Kumbe nia yao siyo kutupigania kumbe ni kujaza matumbo yao.