Wewe vipiiiii? Ijumaaa ni tarehe 11 bhanaWadau naomba kuuliza kesho kuna Sikukuu gani toka asubuhi nawasikia hawa Clouds wanasema?
Mwenye kujua anijuze jamani, Maana nisije kulala kesho kibarua changu kikaota nyasi?
Hilo tangazo la clouds limekuchanganyaWadau naomba kuuliza kesho kuna Sikukuu gani toka asubuhi nawasikia hawa Clouds wanasema?
Mwenye kujua anijuze jamani, Maana nisije kulala kesho kibarua changu kikaota nyasi?
Wadau naomba kuuliza kesho kuna Sikukuu gani toka asubuhi nawasikia hawa Clouds wanasema?
Mwenye kujua anijuze jamani, Maana nisije kulala kesho kibarua changu kikaota nyasi?
Achana na mambo ya clouds ni misukule ya mzee Jiwe,Wadau naomba kuuliza kesho kuna Sikukuu gani toka asubuhi nawasikia hawa Clouds wanasema?
Mwenye kujua anijuze jamani, Maana nisije kulala kesho kibarua changu kikaota nyasi?
Birthday uangu, so ni siku ya mapumbziko kitaifaWadau naomba kuuliza kesho kuna Sikukuu gani toka asubuhi nawasikia hawa Clouds wanasema?
Mwenye kujua anijuze jamani, Maana nisije kulala kesho kibarua changu kikaota nyasi?