Prince Tumbo
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 910
- 247
Kesho kutakuwa na matukio mawili mhimu katika taifa letu. Kwa upande wa chaguzi ndogo tayari tumeshaanza kusikia matukio mabaya ya viongozi wakubwa wa ccm wakikamatwa na chadema wakiwa wanagawa rushwa kwa wapiga kura huko manyara,kilosa,Arusha na Sengerema. Je, hii inaashiria nini wakati huo huo Shonza ametoa taarifa hapa jamvini za ushindi wa ccm kata zote za Arusha? Tukio lingine ni meshi ya kimataifa kati ya Taifa stars na Ivory cost uwanja wa taifa kuwania kufuzu kombe la dunia huko Brazil. Matukio haya yote ni mhim...je nani kati ya matukio haya ataibuka kidedea?....