kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
nipo maeneo ya ferry kigamboni maarufu kwa bi tulule opposite na kwa watoto yatima.vijana wameniita kutaka ushauri wa kisheria.wamepanga kesho wavuka kwa mbizi kwa pamoja kunusuru 200 zako.kimsingi nimewaeleza ni kosa lakini wamekomaa watatekeleza azimio lao kesho kwani wakifungwa ni sehemu ya kupata mahitaji yao bure wakiwa mahabusu