Queen V
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 776
- 1,330
Kesho tarehe 19 Mwanzilishi mwenza wa mtandao wa JamiiForums kufikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar kwa amri ya Mahakama baada ya Mawakili wake kuomba.
Atafikishwa Mahakamani hapo muda wa saa 2 asubuhi ambapo inategemewa maombi yake ya dhamana yatasikilizwa.
Atafikishwa Mahakamani hapo muda wa saa 2 asubuhi ambapo inategemewa maombi yake ya dhamana yatasikilizwa.