KEROOOOOO......uwiiiiiiiiii%#% % MCHUMBA anapenda story za Mademu wa Zamani....

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
Sasa mimi sipendi kabsa,
Hadi najikuta nasimuliaaaa, mara najisahauu na kujiachia kabsa!!!

Mind you leo mwezi wa 6 sijaona ile KITU , yupo seriaz!!!!!!!!!!!
 
Sasa si umwambie kua hupendi?!mbona mambo mengine simple jamani?!khaaa..
 
ah ah unamfuga sana jembe..miezi 6? we akitaka stori mtengenezee za shigongo khs kungonoka hadi aingie 18...af waponde sana hao ma-X wako
 
ah ah unamfuga sana jembe..miezi 6? we akitaka stori mtengenezee za shigongo khs kungonoka hadi aingie 18...af waponde sana hao ma-X wako

Mkuuu, nimemuingiza mazingira yoote hatari, nimechemkaa

Shampeleka Hotel kama mara tatu hivi, ikifikia ile hatua anagomaa kabsa! Hataki kuchezewaaaa!!!!

Nikampeleka Getho, hali ni ngumu!! Kumbuka mimi sijaanza leoo kuwadaka hawa watu, uzoefu kwao ni 99% .......

Imenibidi nitangaze ndoaaaaaa
 
Aaah bana! mkuu chesa karata sako musuri bana,hiyno mutoto isione wewe nyoka ya kibisa bana! halafu masiku hisi hakunaga kutangasa ndoa kabla ya kuthibitisha ubora.
 
Hataki NIMNGONOKEZ....

nimekugongea like si kwamba umenikosha la hasha bali tu ulivyoiweka kitenzi hiki kuwa na prefix na suffix.

mkuu hata kama ni mimi kipapa sikupi ng'o yani ukichakaze kama vile ushakitolea mahari nani kasema? hapa kula kwa manati hadi mahari uitolee na ndoa ipite. Lolest! yaani unichakaze mtoto wa mwanaume menzio kisa nini?
 
nimekugongea like si kwamba umenikosha la hasha bali tu ulivyoiweka kitenzi hiki kuwa na prefix na suffix.

mkuu hata kama ni mimi kipapa sikupi ng'o yani ukichakaze kama vile ushakitolea mahari nani kasema? hapa kula kwa manati hadi mahari uitolee na ndoa ipite. Lolest! yaani unichakaze mtoto wa mwanaume menzio kisa nini?

kipapa tio cha kuku.....ah ah dah hv kwann wasikiite mpapa au papa
 
kipapa tio cha kuku.....ah ah dah hv kwann wasikiite mpapa au papa

kipapa ndio kizuri bana mpapa inamaana mkumbwa na papa ni samaki so ni kasamaki kama papa but kadogo. look from its shape
 
kipapa ndio kizuri bana mpapa inamaana mkumbwa na papa ni samaki so ni kasamaki kama papa but kadogo. look from its shape

dah nikionaga post zake yaan it brings back memories za kusoma...it seems wanafunz wako wanaenjoy sana...ubarikiwe
 
Back
Top Bottom