Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,626
Acha kudaganya umma fi la u n i wewe hakuna Mtaganyika anautaka huu muungano kwa asilimia ulizodaganya hapa, muungano huu upo kwa maslahi ya wanasiasa wa pande zote {bara na visiwani} lakini sikwa wananchi wa kawaida. Ukitaka kuamini huu utafki feki uliouleta hata basi waitishe kura ya maoni. Ushaona nchi moja ina TRA mbili kila moja ikipuyaga kivyake. Muungano huu ni kifungo kisicho na haki hata kidogo.