Kero za mtandao wa Tigo

moe junior

JF-Expert Member
Mar 7, 2014
894
853
Habari JF, huu mtandao wa TIGO sasa imekuwa kama desturi kuseize kwa muda huduma zake na kubadili vifurushi bila taarifa. University ofa ya 1500 leo inatoa 10mbs kweli? Mna agenda gani na tunaoperuzi habari zao mara kwa mara?
Nina miaka 10 au 11 natumia huu mtandao ila nimewachoka. jua likitoka ntapanga foleni voda au airtel.
 
Habari JF, huu mtandao wa TIGO sasa imekuwa kama desturi kuseize kwa muda huduma zake na kubadili vifurushi bila taarifa. University ofa ya 1500 leo inatoa 10mbs kweli? Mna agenda gani na tunaoperuzi habari zao mara kwa mara?
Nina miaka 10 au 11 natumia huu mtandao ila nimewachoka. jua likitoka ntapanga foleni voda au airtel.
Sio vifurushi vya internet tu hata bundle za kupiga simu unanunua dk 50 kupiga tigo kwenda tigo kwa siku unatumia dk saba wanakuambia kifurushi kimekwisha ukipiga customer service wanakuomba wanashughulikia tatizo matokeo yake utarudishiwa kifurushi kesho yake tena zimebaki dk kumi muda wa kifurushi kuisha. Inakera sana
 
Akili zao zimekaa kitigo tigo tuuu.. Mb's 10 za nini sasa si bora wasitoe kabisa...Anyways kama upo maeneo ya chuo ingia kwa ile menu yao ya *148*00# then chagua Ofa maalum hapo utaletewa university ofa ila ni kwa wale
wanaoishimaeneo ya vyuo kwenye hiyo ofa wana toa mb's 500 japo mwanzo walikuwa wanatoa Gb kabla hawajabadilisha
 
Akili zao zimekaa kitigo tigo tuuu.. Mb's 10 za nini sasa si bora wasitoe kabisa...Anyways kama upo maeneo ya chuo ingia kwa ile menu yao ya *148*00# then chagua Ofa maalum hapo utaletewa university ofa ila ni kwa wale
wanaoishimaeneo ya vyuo kwenye hiyo ofa wana toa mb's 500 japo mwanzo walikuwa wanatoa Gb kabla hawajabadilisha
Mkuu leo saa 04 am menu ya ofa maalumu haikuwepo aisee nmekomaa lakini sikuipata...naelekea town ntanunua line nyingine tu
 
Huduma mbovu, niliomba PUK kupitia page yao, cha ajabu walishindwa kunipatia ndani ya siku nne angali niliwapatia vitu vyote walivyoniambia niwatumie kama uthibitisho wa kumiliki namba niliyokua naomba PUK zake. Mwishoni ikabidi nikaunge tu foleni ofisini kwao, poor Tigo
 
Hivi tigopesa imeanza kufanya kazi? Maana jana jioni ilikuwa majanga
 
nina vocha tatu mfukoni toka maduka matatu tofauti zote niliweka nikaambiwa zimetumika, nikawapigia wakaniambie nipige 104 niziweke kwa njia nyingine, nikapiga na kila nikiibiza namba za vocha naambiwa namba suo sahihi na mwisho wa siku nikaambiwa niende tigo shop nikapewe vocha nyingine ambapo nauli ni kutumia 1200 kwenda kupewa vocha ya 1500 nikaona ni upuuzi.. nachoweza kusema ni tigo ni mtandao wa kihuni kuwahi kutokea tanzania
 
Tigo wamechoka kaziii...!! Kwani mbona kuna Mitandao Mingi me nishahamia vodaa... Voda wakizingua TTCL dadekii..tusifanyiane mambo ya kitoto hapaa
 
Habari JF, huu mtandao wa TIGO sasa imekuwa kama desturi kuseize kwa muda huduma zake na kubadili vifurushi bila taarifa. University ofa ya 1500 leo inatoa 10mbs kweli? Mna agenda gani na tunaoperuzi habari zao mara kwa mara?
Nina miaka 10 au 11 natumia huu mtandao ila nimewachoka. jua likitoka ntapanga foleni voda au airtel.
Mkuu motandao karibu yote inazingua sijui kwenye jiji la Bashite huko labda kunauafadhari
 
Nilijua peke yangu Hawa tigo wezi sana yani bundle linaisha kama maji hata matumizi hayaeleweki kabisa dk pia Hawa ni wakuwakimbia tu
 
Huduma mbovu, niliomba PUK kupitia page yao, cha ajabu walishindwa kunipatia ndani ya siku nne angali niliwapatia vitu vyote walivyoniambia niwatumie kama uthibitisho wa kumiliki namba niliyokua naomba PUK zake. Mwishoni ikabidi nikaunge tu foleni ofisini kwao, poor Tigo
Hii page ni geresha tu hakuna wanachoweza zaid ya kupotezeana muda
 
Akili zao zimekaa kitigo tigo tuuu.. Mb's 10 za nini sasa si bora wasitoe kabisa...Anyways kama upo maeneo ya chuo ingia kwa ile menu yao ya *148*00# then chagua Ofa maalum hapo utaletewa university ofa ila ni kwa wale
wanaoishimaeneo ya vyuo kwenye hiyo ofa wana toa mb's 500 japo mwanzo walikuwa wanatoa Gb kabla hawajabadilisha
wanatoa Mb's300 sasa hivi
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom