SUNGURA MPOLE
Member
- Dec 5, 2011
- 19
- 3
Mi ni mgeni hapa jf NAWAOMBA MNIPOKEE na nimekuja na lundo la visa vya mama mkwe wangu, JAMANI NIPENI USHAURI jins ya kuweza kumhandle.
Karibu sana Angel Msofe. Maadam umefika hapa hesabia kuwa tatizo lako limetatuliwa. Nitakusaidia kadiri ya uwezo wangu ili tatizo lako liweze kutatuliwa
Mi ni mgeni hapa jf NAWAOMBA MNIPOKEE na nimekuja na lundo la visa vya mama mkwe wangu, JAMANI NIPENI USHAURI jins ya kuweza kumhandle.
Mi ni mgeni hapa jf NAWAOMBA MNIPOKEE na nimekuja na lundo la visa vya mama mkwe wangu, JAMANI NIPENI USHAURI jins ya kuweza kumhandle.
Mrudishe kijijini au mwache mkeo.Mi ni mgeni hapa jf NAWAOMBA MNIPOKEE na nimekuja na lundo la visa vya mama mkwe wangu, JAMANI NIPENI USHAURI jins ya kuweza kumhandle.
Naunga mkono hoja.Mrudishie mtoto wake mangi, haoni maisha ilivyo ngumu?
Karibu Jamii Forums