NewDawnTz
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,667
- 362
:heh:
Wandugu ukweli kabisa hakuna mwezi siupendi kama wa January.
Hii January ni kero jamani (japo sijui kama na kwa wengine pia ni kero).
Mimi bado kid wangu mdogo ndo kwanza anagonga shule ya awali sa hizi hivyo sina pressure sana za kumsomesha.
Ila ngoma iko kwa majirani na ndugu. Requests za kukopesha ada watoto waende shule ziko kibao mpaka zinanikera. Sijui ndo wakiona kale ka mkweche kanakonipeleka ofisini wanajua nina ka-SACCOS ndani au vipi?
Wengine Dec walijitanua mpaka wakachanika msamba kudondokea kwenye mitaro, ila leo wanaomba 50 au 70 kupeleka watoto shule.
Hivi ni mimi tu au na wengine yanawakuta? Hebu niambieni mnafanyaje??
Me choka mpaka nawaza nibadili ratiba ya likizo iwe Janurai alafu natimikia mbali nisigongane nao nje ya geti home kwangu
Wandugu ukweli kabisa hakuna mwezi siupendi kama wa January.
Hii January ni kero jamani (japo sijui kama na kwa wengine pia ni kero).
Mimi bado kid wangu mdogo ndo kwanza anagonga shule ya awali sa hizi hivyo sina pressure sana za kumsomesha.
Ila ngoma iko kwa majirani na ndugu. Requests za kukopesha ada watoto waende shule ziko kibao mpaka zinanikera. Sijui ndo wakiona kale ka mkweche kanakonipeleka ofisini wanajua nina ka-SACCOS ndani au vipi?
Wengine Dec walijitanua mpaka wakachanika msamba kudondokea kwenye mitaro, ila leo wanaomba 50 au 70 kupeleka watoto shule.
Hivi ni mimi tu au na wengine yanawakuta? Hebu niambieni mnafanyaje??
Me choka mpaka nawaza nibadili ratiba ya likizo iwe Janurai alafu natimikia mbali nisigongane nao nje ya geti home kwangu