Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
- Thread starter
- #41
Niliwahi mtania mmoja ,"tipwa tipwa" nilioga mvua ya matusi na WAKATI yeye ndo alianza Kwa kuniita Mimi mpapai....Tukiachana na hayo. Vibonge ni watu wazuri sana wacheshi, hawana roho mbaya, pia wengi wao ni watu wa utani sana. Sasa wew mtoa mada utakua umekonda kama miwa ya kilosa na ni wivu tu unakusumbua. Vibonge wengi hawana tatizo na mtu.