Junior Lecturer
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 904
- 526
Nimezunguka karibia mikoa yote Tanzania. Kila nilipo pita na kuweka makazi ya muda.
Nilikuwa nakuta na hawa watu wanene maarufu kama VIBONGE (wingi) na Bonge (umoja) (siyo rasimi, onesigara ata fafanua hapo.)
Sasa hawa Vibonge binafsi wananikera sana, yaani wote ME na KE, wanatabia zinazo fanana, kama Uchafu, Uzembe na uvivu, Kula Sana, kujikuna sehemu nyeti au kuweka mikono huko, kutoa mitusi ovyo hata mbele ya watoto wadogo, dharau na mengine mengi.
Nimekuja kutoa hasira zangu hapa na kuwachana hawa Ndugu zangu Vibonge, kutoka na hii tabia ya kibonge mwanzao ambaye naishi naye hapa kugoma kubadilika.
Yaani akiwa ana swaki limkono loote linajaa povu la dawa ya Meno.
Anatema hovyo ovyo mapovu ya dawa ya Meno.
Anaogea ndoo YEYOTE anayo iona mbele yake.
Machupi chupi yake kuya Acha bafuni ni kawaida (huyu ni wakike)
Kuna wakiume naye anatabia hizohizo hapa Jirani yangu,yaani kila nikikutana naye anakuna pumb* na analazimisha kunipa mkono, akiwa anamafua apenga kamasi bila leso.
Tukienda kula gengeni anasubiri wewe uagize kwanza, kama ni wali Nyama atapiga vifundo kadhaa vya wali na Nyama mbili anakubakizia mbili then ndo ana agiza na yeye, na kereka saana.
RAI YANGU.
-- VIBONGE BADILIKENI MNANIKERA SANA.IKIWEZEKANA UNDENI UMOJA WENU MKANYANE.
-- NIMEKASIRIKA SANA HAPA.
--NA SIHITAJI MSAMAHA WENU KATIKA HILI.
Nilikuwa nakuta na hawa watu wanene maarufu kama VIBONGE (wingi) na Bonge (umoja) (siyo rasimi, onesigara ata fafanua hapo.)
Sasa hawa Vibonge binafsi wananikera sana, yaani wote ME na KE, wanatabia zinazo fanana, kama Uchafu, Uzembe na uvivu, Kula Sana, kujikuna sehemu nyeti au kuweka mikono huko, kutoa mitusi ovyo hata mbele ya watoto wadogo, dharau na mengine mengi.
Nimekuja kutoa hasira zangu hapa na kuwachana hawa Ndugu zangu Vibonge, kutoka na hii tabia ya kibonge mwanzao ambaye naishi naye hapa kugoma kubadilika.
Yaani akiwa ana swaki limkono loote linajaa povu la dawa ya Meno.
Anatema hovyo ovyo mapovu ya dawa ya Meno.
Anaogea ndoo YEYOTE anayo iona mbele yake.
Machupi chupi yake kuya Acha bafuni ni kawaida (huyu ni wakike)
Kuna wakiume naye anatabia hizohizo hapa Jirani yangu,yaani kila nikikutana naye anakuna pumb* na analazimisha kunipa mkono, akiwa anamafua apenga kamasi bila leso.
Tukienda kula gengeni anasubiri wewe uagize kwanza, kama ni wali Nyama atapiga vifundo kadhaa vya wali na Nyama mbili anakubakizia mbili then ndo ana agiza na yeye, na kereka saana.
RAI YANGU.
-- VIBONGE BADILIKENI MNANIKERA SANA.IKIWEZEKANA UNDENI UMOJA WENU MKANYANE.
-- NIMEKASIRIKA SANA HAPA.
--NA SIHITAJI MSAMAHA WENU KATIKA HILI.