OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,695
Ni pale mnapoenda kundi sehemu kama bar au mgahawa. Mpo meza moja, kila mtu anaagiza usawa wake, mnakula na kunywa vizuri.
Inapofika wakati wa kulipa ukiwa wa kwanza kulipa mhudumu anakuuliza kama akate bili ya watu wote.......aaaagttttt
Wewe muhudumu nani kakwambia kama ukate ya watu wote. Kata ya aliyekupa hela,kama anahitaji ukate ya watu wote subiri aseme yeye. Sio kumungoza!!
Hii ni kero kwangu kwa sababu kuna watu wanapenda sana mteremko,mkienda kula anategea kulipa. Akimaliza kula anashika simu anazugaaa akisubiri uulizwe. Ukiukizwa kuna ile aibu,unajikuta unalipa tu zote.
Ni hayo tu
Inapofika wakati wa kulipa ukiwa wa kwanza kulipa mhudumu anakuuliza kama akate bili ya watu wote.......aaaagttttt
Wewe muhudumu nani kakwambia kama ukate ya watu wote. Kata ya aliyekupa hela,kama anahitaji ukate ya watu wote subiri aseme yeye. Sio kumungoza!!
Hii ni kero kwangu kwa sababu kuna watu wanapenda sana mteremko,mkienda kula anategea kulipa. Akimaliza kula anashika simu anazugaaa akisubiri uulizwe. Ukiukizwa kuna ile aibu,unajikuta unalipa tu zote.
Ni hayo tu