Kweli wanyama hatuwezi kuwatungia sheria kwa vile hawana akili wala utashi. Wanaishi kwa kutumia silika. Mtungiwa sheria ni mwanadamu kwa vile ana akili na uwezo kutenda matendo ya kiutu. Yuko responsible na matendo yake. Naamini hata hayo mabaa na mdisko si sawa kukesha watu wanapiga kelele katikati ya makazi ya watu. Kumbi za disko za kukesha zapaswa kuwa mbali na makazi ya watu. Vivyo hivo mabaa ya kukesha. Kama si ya kukesha, basi usikukati yanapaswa kufungwa. Ni wazi hatuwezi kukosa kelele kabisa, lakini walau zipungue. Kuna kelele zingine ni za emergency huwezi kuzuia, mf magari machache yanayotembea usiku yamechelewa huko yalikotoka, au mtu kavamiwa na majambazi lazima aombe msaada kwa kupiga filimbi. Jamani kupumzika ni jambo la lazima, hasa usiku! Mchana si shida sana.
Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu.
Amos 5:23
Wote wenye kuwapigia wenzao kelele...!Nani akuondolee kelele? Max, misikiti au kanisa?
Wewe sasa unatuvunja mbavu! Nimecheka sana! Jamani humu JF kuna mambo, na kuna watu! JF idumu!Umegundua ehhh? Mie nimemwambia kuwa na mie ni Mkristo, ila jamaa ananiambia nikasale swalaaa. Mie na msikiti wapi na wapi?
Dawa na kuchoma vyote Tanzania yaani hawa akina Shimba wala vya bure wanatokomezwa kabisa kama walivyo Waczeck au Wakomunisti. Hamna salaaa wala kunena kilugha "shantabalabala balaaaa..............." hamna kitu hapo. Siku akija Rais Mkorofi, ntafurahi sana......"hakuna me wala bee" wote kazini. Hamna wala vya buree.
Max, wee usiku badala ya kusali usiku mzima, mshughulikie mkeo, wataanza kukusaidia Watoto wa Mujini. Na nyie Walokole mnakuwaga na wake bomba kishenzi. Mnaingia kwa gia ya "Dada Monica, mie Mungu kanifunulia..." Mhhh, nani kakufunulia wewe? Hormon zako hizo zinakutuma uzitafutie sehemu uzipunguze na usimuweke Mungu hapo. Punguza kusali usiku na umpe Mkeo haki yake.......Na hii inawahusu watu wote, waswali salaa, Walevi, waenda Disco, Mbwa wabwekaji, Mama Muuza, baba Muuza, wapeni wapenzi wenu haki zao usiku......
wewe unayeongea hivyo kuwa walokole wanakukera, hujui kitu, Mungu na akusamehe kabisa, tena tema mate chini. hujui kama pengine wanakuwa wanakuombea wewe na nchi yako ukae salama ndo maana unakuwa na hata muda wa kulala? wanaomba kwaajili yao, kwaajili ya watz wote, kuomba Mungu atuepushe na vita na majanga mbalimbali. hao ni watu muhimu sana kuliko vile unavyofikiri. Mungu yupo pamoja nao.
Pili, umeleta mada hii, angalia sana. ukisababisha chochote kutokea kwa hao walokole, Mungu wao atawapigania, na lolote litakalotokea kwao kutokana na uchochezi wako utalilipia garama. hakika utaadhibiwa. najua ninachoongea.
Unatakiwa umjue Mungu, tena kwa nguvu kwasababu hauelewi kwa hali ya kawaida. usisubiri hadi uugue kansa, pressure na magonjwa ya ajabu ndo ukimbilie kwa walokole haohao wakakuombeee. achana na walokole, waache wamwabudu Mungu wao, ambaye ndo Mungu unayetakiwa kumwabudu hata wewe. angalia sana, wenzio wamewagusa walokole wakadondokea pua, usiende kichwakichwa. kama hauamini endelea vita yako dhidi ya walokole, ndo utaona kama wana Mungu au la. hujafa hujaumbika, usitukane mamba wakati hujavuka mto. usifikiri kila anayeomba na kulia hana akili. kuna siku utajajua. Mungu na akusaidie, namwomba Mungu akufumbue akili ili uokoke, pengine utaepuka adhabu. Amina.
Wote wenye kuwapigia wenzao kelele...!
Kelele za dharura huwezi kuzitungia sheria. Lakini mengine haya yatungiwe sheria. Hasa zile kelele za makusudi na zinazodumu muda mrefu, mf. za disko, baa. Kelele za ndege, kuwika kwa kuku ni kelele za dakika moja au sekunde kadhaa, mf jogoo limewika. Hizi hazisumbui sana kiasi cha mtu kushindwa kulala. Lakini disco la kukesha. Ndugu! Kumbe lazima impact ya kelele lazima tuiangalie kwenye duration na ukubwa (uzito) wake.Babuyao,
Shida si watu. Shida ni kelele na kukosa usingizi.
Watu wasipotukosesha usingizi wanyama, ndege na hizo ulizoita emergency zitatusumbua. Je twende wapi? au tutunge sheria kwa ajili hiyo?
Maana najua hata hao walokole si kwamba usali kila siku, bali ni siku fulani fulani. Nayo tuiweke kundi la emergency?
Umegundua ehhh? Mie nimemwambia kuwa na mie ni Mkristo, ila jamaa ananiambia nikasale swalaaa. Mie na msikiti wapi na wapi?
Dawa na kuchoma vyote Tanzania yaani hawa akina Shimba wala vya bure wanatokomezwa kabisa kama walivyo Waczeck au Wakomunisti. Hamna salaaa wala kunena kilugha "shantabalabala balaaaa..............." hamna kitu hapo. Siku akija Rais Mkorofi, ntafurahi sana......"hakuna me wala bee" wote kazini. Hamna wala vya buree.
Max, wee usiku badala ya kusali usiku mzima, mshughulikie mkeo, wataanza kukusaidia Watoto wa Mujini. Na nyie Walokole mnakuwaga na wake bomba kishenzi. Mnaingia kwa gia ya "Dada Monica, mie Mungu kanifunulia..." Mhhh, nani kakufunulia wewe? Hormon zako hizo zinakutuma uzitafutie sehemu uzipunguze na usimuweke Mungu hapo. Punguza kusali usiku na umpe Mkeo haki yake.......Na hii inawahusu watu wote, waswali salaa, Walevi, waenda Disco, Mbwa wabwekaji, Mama Muuza, baba Muuza, wapeni wapenzi wenu haki zao usiku......
Wewe una pepo nini? Kelele unazijua?kamwabudu anayekupa hiyo pumzi ya bure ambayo hujawahi daiwa hata kodi, ni kupiga makelele?You need to repent!Kumsifu na kumwabudu Mungu unaita kero-unasikitisha!Shindwa legea kwa JINA LA YESU na utubu!Ninakaa jirani na makanisa ya kilokole,basi usiku kucha wanapiga kelele tena wakitumia vipaza sauti! Jamani! Usingizi hamna! Kama ningekuwa na sauti serikalini ningependekeza makanisa haya yajengwe mbali na makazi ya watu kama machinjio tu la sivyo wasali kwa sauti za ustaarabu bila maspika.Wanatukera sana!
Hama, hakuna aliye kulazimisha kukaa hapo. lol
Waislam wanapo amsha NCHI NZIMA saa kumi za hasubusi, hiyo si KERO. LOL
....mie si mwislamu lakini nawatetea!Muda wanaotumia nadhani hauzidi nusu saa,isitoshe ile ni kuamshana waende kwenye ibada na wakianza wala hawatumii spika tena,halafu pia hata wengi huamka muda huo na kujiandaa kwa shughuli za ujenzi wa taifa.Je walokole wanaamshana/wanaitana kwa hivo usiku wa manane? Sipingi kusali bali napinga kutumia spika tu! Jaribuni kunielewa.
Maxshimba,
Ni poa sana kufahamu kuwa una mke Bomba. Ila nakukumbusha tena, usiku mpe haki yake na kama ukishindwa basi mie ntatoka Sikonge nije nimpe. Mie ni Mkristo ila nafuata zile sheria za Yesu wa kweli. Yesu alipokuta wamebadili nyumba ya baba yake kuwa pango la Wanyang'anyi, si alitembeza kibano. Mcheki Yesu anavyotembeza mikono. Hee, akawa kama Bruce Lee wa Wayahudi, pa paaa paaaa!!!
Sasa kumuacha Mkeo kwa sababu tu sasa uwezo huna na kuzuga kuwa unamsalia Yesu usiku na mchana, itafika siku mkeo akushtukie. Hapo ndipo atakuja kwetu sisi kwa Ari Mpya, nguvu mpya, Kasi mpya.... Na akifika kwa mzee mwenyewe wa Kazi aka Ngosha Sikonge, ni kama wimbo wa Femi Kuti "Beng beng beng.........."
Wachangiaji,
Kuleni BREAK. Ninaswali nataka kuuliza:-
Hivi WALOKOLE na JEHOVA'S WITNESSES nani zaidi kwa HAAMBILIKI?
Nakuunga Mkono Mkuu buchanan Sio makelel Watu wanafanya ibada lakini kungekuwa na utaratibu wa kufanya ibada yaani wakati maalum wa hao Walokole kufanya hiyo ibada yao kama wanavyo fanya Waislam kwa kutwa Mara Tano kwa kutumia Vipaza Sauti na hiyo Waislam wanavyotumia kwa sala ya alfajiri inachukuwa kama Dakika kumi kwa kuwaamsha watu ili waende kuswali hiyo sauti inayotumia wakati wa alfajiri na sio ya kuwauzi watu au kuwafanya watu wasiiweze kuupata usingizi Je Wenzetu Walokole hiyo ibada ya ya kutowa Sauti kwa juu ili watu wawajue kuwa wanafanya ibada wamefundishwa na nani? Yesu mwenyewe Katufundisha hivi Namna ya Kuswali Soma hapa ( [FONT=Arial, Helvetica, Geneva, SunSans-Regular, sans-serif]Mathayo 6[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]7 "Mnaposali, msipayuke maneno kama watu wasiomjua Mungu. Wao hudhani kwamba Mungu atawasikiliza ati kwa sababu ya maneno mengi.[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]8 Msiwe kama wao. Baba yenu anajua mnayoyahitaji hata kabla ya kumwomba.[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]9 Basi, hivi ndivyo mnavyopaswa kusali: [/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]10 Ufalme wako ufike. Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]11 Utupe leo chakula chetu tunachohitaji.[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]12 Utusamehe makosa yetu, kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea.[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]13 Usitutie katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. is Baadhi ya makala za zamani zina; Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.>[/FONT]
[FONT=Bookman Old Style, Times New Roman, Times Roman, Serif]Sasa hawaNdugu Zetu Walokole Hiyo ibada yao ya kupiga Makelele Kupayuka payuka Wamefundishwa na nani? Kama Sio Shetani kawafundisha?[/FONT]
Afadhali umemweleza ukweli.
Wanafanya hivyo kulingana na Maandiko Matakatifu ya Mungu aliye hai:
Psalms:150:3: Praise him with the sound of the trumpet: praise him with the psaltery and harp.
Psalms:150:4: Praise him with the timbrel and dance: praise him with stringed instruments and organs.
Psalms:150:5: Praise him upon the loud cymbals: praise him upon the high sounding cymbals.
Psalms:150:6: Let every thing that hath breath praise the LORD. Praise ye the LORD.
Maneno mengine kama ni msamiati chukua English Dictionary. Ubarikiwe!