KERO ya Walokole: JE, watengwe na makazi ya watu?

Soma Psalms 100.

Make a joyful noise unto the Lord, all ye lands.
Serve the Lord with gladness;

come before his presence with singing.
Know ye that the Lord he is God;
it is he that hath made us, and not we ourselves;
we are his people, and the sheep of his pasture.
Enter into his gates with thanksgiving,
and into his courts with praise;
be thankful unto him, and bless his name.
For the Lord is good; his mercy is everlasting;
and his truth endureth to all generations.
Psalm 100.

mshangilie bwana sio lazima makelele makubwa
 
Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao
Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.
Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Matt 6:5-8
 
Kumbe huwa unasikiliza neno. Kwaya lazima ziendelee zikiambatana na muziki mtamu unao sifu YESU KRISTO.

Kama ukizi, umesha pata, kazi iliyo baki ni kukuzibua masikio, kwa neno safi kutoka kwa YESU KRISTO.
.
....
Hizi kilele hizi nadhani ndio zilizo mponza!. Pilato akaamua kumtandika mijeledi.

Angelikuwepo pilato leo!
pilato njoooo! uwashughulikie. teh! teh! teh!
 
Wee piga sana kelele ila usinipigie mie makelele. Ningelikuwa nafahamu unasali wapi, ningelikuja na Maspika ya kuuwa mtu na kuweka makelele ya miziki ya RAP za matusi saana kama ule wimbo wa TUPAC, na kufungulia usiku mzima mbele ya nyumba yako, na hasa siku UNAMSIBA. Hapo na mie ungeliona ninavyomsifu SHETANI WANGU.

Mie sijasema Muislam wala Mkristo. Mie nimesema kutumia decibel (dB) kubwa sana wakati wa usiku. Kama mnapesa na mnataka kupiga makelele hadi makoo yaache kufanya kazi, si mjenge makanisa SOUND PROOF na mtaimba wee hadi Yehovah atakuja hapo mlipo......???
Hapa tatizo siy DINI ila ni bughudha ya makele wa usiku. Mengine yote ni yako wee na ugomvi na Waislam wako. Mie ni Mkristo pia hivyo huko kwenye maugomvi yenu mie simo..... Hapa mgomvi wangu ni SAUTI KUBWA.

Hii umenikumbusha pale Kanisa la KKKT la kijitonyama, jamaa walikuwa wanapiga buzuki usiombe. Ila kuna jamaa mmoja alikuwa kanunua karibu ya kanisa aliwaweza. yeye alchofanya ni kufunga maspika kwenye ghorofa yake kuelekea kanisani. Kila wakiwasha yao nayeye anawasha yake halafu anaondoka, sasa jamaa wakawa wanashindwa kuelewana kanisani maana mziki wa jamaa ulikuwa si wa kitoto. Ikabidi jamaa wa kanisani sasa waache kufungulia kwa nguvu kwani wanajua counter sound itafuatia na wao ndiyo waathirika. Basi mpaka leo jamaa wameacha mchezo wao wa "Mabuzuki ya Yesu eeeee nakupendaaaa" usiku kucha.

Dawa ya moto ni moto, Wao wakipiga kelele wewe piga mara kumi. Ili wakashitaki, au waache. Hilo ndiyo suluhisho la pekee. Kama wao wanahitajikusikilizana kanisani basi na majirani pia wanahitaji kusikilizana majumbani mwao.
 
Wee piga sana kelele ila usinipigie mie makelele. Ningelikuwa nafahamu unasali wapi, ningelikuja na Maspika ya kuuwa mtu na kuweka makelele ya miziki ya RAP za matusi saana kama ule wimbo wa TUPAC, na kufungulia usiku mzima mbele ya nyumba yako, na hasa siku UNAMSIBA. Hapo na mie ungeliona ninavyomsifu SHETANI WANGU.

Mie sijasema Muislam wala Mkristo. Mie nimesema kutumia decibel (dB) kubwa sana wakati wa usiku. Kama mnapesa na mnataka kupiga makelele hadi makoo yaache kufanya kazi, si mjenge makanisa SOUND PROOF na mtaimba wee hadi Yehovah atakuja hapo mlipo......???
Hapa tatizo siy DINI ila ni bughudha ya makele wa usiku. Mengine yote ni yako wee na ugomvi na Waislam wako. Mie ni Mkristo pia hivyo huko kwenye maugomvi yenu mie simo..... Hapa mgomvi wangu ni SAUTI KUBWA.

Punguza jazba bana.

Na nyie mnapo amsha NCHI NZIMA usiku kwa swaaaaaalaaaaaaa, hivi hiyo si KERO, au kwasababu ni mambo ya kimanga? Hivi mnashindwa kukumbuka mpaka muamshwe na ustaadh au mashehe wenu kila siku?

MAKELELE ya kusifu tutaendelea kupiga mpaka KIHAMA. Majini mnayofuga yakishindwa kuvumilia, hamieni umangani,
 
Kwa kweli makanisa ya walokole yanakera sana hasa kwenye mikesha.Vile vile ile SWALAAAAAAAAAAAAA ya waisilam asubuhi ni kero

Mbona umesahau kelele za harusi na send off; miziki ya baa na disco? afadhali akina Bilicanas na wengine kama Calfonia Dreamer, Las vegas etc mambo yao yako kimya na yamefichwa kabisaaaaaaaaaa mpaka uwe member ndo unajua hizo huduma zinapatikana wapi.
 
Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao
Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.
Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Matt 6:5-8

Umeshindwa kujuwa tofauti KATI ya KUSALI, KUABUDU, NA KUSIFU. Hili ndilo tatizo la MADRASA.
 
.
....
Hizi kilele hizi nadhani ndio zilizo mponza!. Pilato akaamua kumtandika mijeledi.

Angelikuwepo pilato leo!
pilato njoooo! uwashughulikie. teh! teh! teh!

Astaghafulahi, ni wapi kwenye Koran yenu yenye shaka panasema uliyo andika?
 
Mi nafikiri suala si kusali au kutumia sauti kubwa. Kila mtu ana uhuru wa kuabudu kwa namna dini au dhehbu lake linavyomtuma. Kila watu wana haki ya kuabudu. Lakini katika kuitumia haki hiyo ya kuabudu isiingilie haki za wengine wasiohusika. Mfano usiku kikawaida ni wakati wa kulala. Kumbe kama mtu anaabudu kwa kupiga sauti zinazowafanya watu wasilale, siamini kama ni jambo jema. Lakini kama ni mchana wanaweza wakatumia sauti ya juu, lakini pia yenye malemgo, yaani wanataka ujumbe umfikie nani. Nani mlengwa? Kwa kawaida mhubiri anataka ujumbe uwafikie wale walio Kanisani. Kwa hiyo hakuna sababu ya vipaza sauti mpaka nje ya Kanisa. Huko unawatafuta wasiohusika kwani wenye kuhusika wako hapo Kanisani.

Mtu hawezi kuwa na uhuru wa kufanya lolote bila kujali wengine hata kama kwa kufanya hivyo atakuwa anamsifu Mwumba. Dini hairuhusu kufanya kila kitu hata kwa gharama ya kuwavunjia wengine haki zao. Ni sawa na wale kwa kisingizo cha dini waliamua kutoroka na watoto mpaka porini ili wakae huko wakiabudu wakati wakijua watoto wana haki ya kwenda shule. Huko si kumwabudu Mungu. Ni kitu kingine.

Nakubaliana na wewe nakama mtu anataka kuhubiri neno la Mungu kwa watu ambao siyo member basi kwa walokole kuna mikutano ya nje na wainjilisti ndo kazi yao; yaani ndani wachungaji, nje wainjilisti. Tatizo kubwa liko katika kukosa maarifa na hapo ndipo neno linasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Huwezi kupeleka neno la Mungu kwa nguvu tukifuata maagizo ya Mungu tutamshinda shetani kwa urahisi although haimaanishi kuwa nae hatakua agressive kutu attack. Mfano hii thread inazungumzia walokole na si swala la kelele as if walokole tu ndo wana tatizo la sound polution. Magari yaliyouunguza exhoust, kelele za baa, makelele ya standi na kwenye daladala hayo yote hayamkeri mhusika yeye sauti ya Jina la Yesu tu ndo kero wala spika za makanisa mengine na waislam yeye hayamkeri aaa ye ni walokole tu. Well nampa benefit of doubt maana amesema wako karibu nae ila hata yale ya kwenye daldala hayamkeri au mwenzetu ndo yuleyule wa kiyoyozi na makelele mengine ya kitanzania huwa hakumbani nayo? Kama namengine anayajua kwanini yuko biased? Hapo na mimi nahaki ya ku conclude labda ana mapepo nahayo hua yakisikia tu in Jesus name hata kwa sauti ya chini huwa yanasema usinipigie kelele sasa dawa ya hilo taizo dogo tu we sikiliza hizo kelele in a short time utaanza kuona unaburudika na usingizi mnono unakujia hapo ndo Jesus kesha mreplace devil kwahiyo sauti zinageuka kuwa mziki mororo wa blues. Sema Amen!!!!!!!
 
Tena msalipo, msiwe kama wanafiki; kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia, Wamekwisha kupata thawabu yao
Bali wewe usalipo, ingia katika chumba chako cha ndani, na ukiisha kufunga mlango wako, usali mbele za Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.
Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.
Basi msifanane na hao; maana Baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba.
Matt 6:5-8
Vipi kuhusu Misikiti kuweka Spika nje na kuwabughudhi watu kila siku alfajiri,mchana,jioni na usiku,kama sio kupayuka ni nini huku,kwani msiwe mnaswali wenyewe tu ndani ya Misikiti yenu badala ya kuweka Spika/Vipaza Sauti na kuanza kuwabuhjudhi wengine ambao si Waislamu??????,je yatengwe maeneo maalum ya kuabudu(Misikiti,Makanisa na Mahekalu)????,maana inakera jamani hasa hayo ma Adhana yenu ya kila siku
 
Vipi kuhusu Misikiti kuweka Spika nje na kuwabughudhi watu kila siku alfajiri,mchana,jioni na usiku,kama sio kupayuka ni nini huku,kwani msiwe mnaswali wenyewe tu ndani ya Misikiti yenu badala ya kuweka Spika/Vipaza Sauti na kuanza kuwabuhjudhi wengine ambao si Waislamu??????,je yatengwe maeneo maalum ya kuabudu(Misikiti,Makanisa na Mahekalu)????,maana inakera jamani hasa hayo ma Adhana yenu ya kila siku
Nenda kawaambie kuwa wanawapigia kelele.
 
Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu.
Amos 5:23


Endelea kufundisha, mbona husemi ni nani alikuwa anaambiwa?! Ndio maana huwa nakwambia usifikiri Ukristo unafundishwa kimadrasa.
 
Nenda kawaambie kuwa wanawapigia kelele.
Nikawaambie akina nani tena?,maana Misikiti na Makanisa imetapakaa kila sehemu,ukihamia huku kero ni zilezile,so inabidi kufa kijerumani tu na tai shingoni maana hata nikiwaambia kuwa wanatupigia kelele na maadhana yao watanielewa?,wataondoa yale maVipaza Sauti juu ya Misikiti????,nadhani cha msingi ni kutenga maeneo maalum mbali na makazi ya watu kwa ajili ya nyumba za Ibada,Otherwise tuwe Wavumilivu tu
 
Nadhani matatizo yote haya ni dalili tu ya tatizo kubwa tulilonalo katika mipango miji na kusimamia sheria za majenzi.

Tujiulize:
- Dar es Salaam ina masterplan? Je inafuatwa?
- Nani anatoa vibali vya ujenzi?
- Ni nani kisheria naayeweza kuyakemea makanisa/misikiti?
- Uhuru wa kuabudu uliopo kwenye katiba ni absolute?
 
Jamaa anaishi karne za kipagani.

Umegundua ehhh? Mie nimemwambia kuwa na mie ni Mkristo, ila jamaa ananiambia nikasale swalaaa. Mie na msikiti wapi na wapi?
Dawa na kuchoma vyote Tanzania yaani hawa akina Shimba wala vya bure wanatokomezwa kabisa kama walivyo Waczeck au Wakomunisti. Hamna salaaa wala kunena kilugha "shantabalabala balaaaa..............." hamna kitu hapo. Siku akija Rais Mkorofi, ntafurahi sana......"hakuna me wala bee" wote kazini. Hamna wala vya buree.

Max, wee usiku badala ya kusali usiku mzima, mshughulikie mkeo, wataanza kukusaidia Watoto wa Mujini. Na nyie Walokole mnakuwaga na wake bomba kishenzi. Mnaingia kwa gia ya "Dada Monica, mie Mungu kanifunulia..." Mhhh, nani kakufunulia wewe? Hormon zako hizo zinakutuma uzitafutie sehemu uzipunguze na usimuweke Mungu hapo. Punguza kusali usiku na umpe Mkeo haki yake.......Na hii inawahusu watu wote, waswali salaa, Walevi, waenda Disco, Mbwa wabwekaji, Mama Muuza, baba Muuza, wapeni wapenzi wenu haki zao usiku......
 
Back
Top Bottom