Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,072
Wasalaam wadau.
Kwa wale mnaokaa mbezi mnafahamu kero kubwa ya usafiri hususan jioni kutokea Kimara.
Natoa rai kwa serikali mtuangalie na sisi ikiwezekana mabasi ya mwendokasi yatoke Mbezi mpaka Mjini moja kwa moja au hata mradi mzima wa BRT uendelezwe ufike Mbezi kabisa.
Kwa wale mnaokaa mbezi mnafahamu kero kubwa ya usafiri hususan jioni kutokea Kimara.
Natoa rai kwa serikali mtuangalie na sisi ikiwezekana mabasi ya mwendokasi yatoke Mbezi mpaka Mjini moja kwa moja au hata mradi mzima wa BRT uendelezwe ufike Mbezi kabisa.