Kwa yeyote anayehusika haya magari yenye ruti maalum toka zamani kwa nini sasa yanabadili njia kwa faida ya convid na kututesa sisi wengine kama tunaotaka kwenda mawasiliano makumbusho tunatokea Mbezi wanakata kisa waende Kariakoo kwa 1000?
Mamlaka zinazohusika hili hamlioni? Tunateseka Tafadhali na barabara zimejaa polisi wa usalama ila wanawaangalia tu jamaani
Mamlaka zinazohusika hili hamlioni? Tunateseka Tafadhali na barabara zimejaa polisi wa usalama ila wanawaangalia tu jamaani