yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,552
- 3,513
Ni jambo la kusikitisha sana.
Ilikuwa siku ya Ijumaa nilikuwa na shida muhimu sana hapo wilayani Ubungo, niljpofika sikuweza kuhudumiwa kwa sababu umeme ulikatika. Nikaambiwa nirudi Juma tatu.
Leo Juma tatu nimerudi, kabla sijahudumiwa umeme ukakatika tena, tangu saa nne mpaka mda huu saa nane raia tumepiga kambi hapa kwenye ofisi za mkuu wa wilaya tukisubiri umeme urudi tuhudumiwe.
Hivi kweli TANESCO mnakata umeme hovyo na kila siku kwenye ofisi muhimu kama hii?
Hivi kweli serikali imekosa hela za kununua Generator kwa ajili ya ofisi kubwa na muhimu kama hii??
Watu tunatumia nauli kubwa na muda kwenda na kurudi kwa sababu tu ya umeme.
Inasikitisha sana.
Ilikuwa siku ya Ijumaa nilikuwa na shida muhimu sana hapo wilayani Ubungo, niljpofika sikuweza kuhudumiwa kwa sababu umeme ulikatika. Nikaambiwa nirudi Juma tatu.
Leo Juma tatu nimerudi, kabla sijahudumiwa umeme ukakatika tena, tangu saa nne mpaka mda huu saa nane raia tumepiga kambi hapa kwenye ofisi za mkuu wa wilaya tukisubiri umeme urudi tuhudumiwe.
Hivi kweli TANESCO mnakata umeme hovyo na kila siku kwenye ofisi muhimu kama hii?
Hivi kweli serikali imekosa hela za kununua Generator kwa ajili ya ofisi kubwa na muhimu kama hii??
Watu tunatumia nauli kubwa na muda kwenda na kurudi kwa sababu tu ya umeme.
Inasikitisha sana.