fungafunga
Senior Member
- Mar 30, 2010
- 116
- 155
Wanajamvi.
Nimekuwa mteja wa mabasi haya kwa muda mrefu nikivumilia kero zote lakini hili la uchafu wa mabasi naona sasa ni uzembe uliopitiliza.
Kwakweli hii ni aibu kubwa kwa menejimenti ya huu mradi. Unawezaje kutumia basi mpaka linakuwa na ukoko wa vumbi kwenye roof ya basi? Hii inakuwaje?
Jirekebisheni jamani hii ni aibu!
Nimekuwa mteja wa mabasi haya kwa muda mrefu nikivumilia kero zote lakini hili la uchafu wa mabasi naona sasa ni uzembe uliopitiliza.
Kwakweli hii ni aibu kubwa kwa menejimenti ya huu mradi. Unawezaje kutumia basi mpaka linakuwa na ukoko wa vumbi kwenye roof ya basi? Hii inakuwaje?
Jirekebisheni jamani hii ni aibu!