- Thread starter
- #21
R.I.P MtikilaNa ardhi ya bara wazenj wanamiliki ila m bara huruhusiwi kumiliki kwao
R.I.P MtikilaNa ardhi ya bara wazenj wanamiliki ila m bara huruhusiwi kumiliki kwao
Kitengo gani? Kinaundwa na akina nani?Huko kuna kitengo maalumu kwa Kazi hiyo,kama una kinyongo jifie
Unaijua ofisi ya Makamu wa Rais Muungano?Kitengo gani? Kinaundwa na akina nani?
Mwenge wa Uhuru ama kweli umetupumbaza Wadanganyika. Nchi mbili zinaungana na kubakia na serikali mbili zinazotambulika ndani ya muungano!Nilishangaa sana hata TBC siku ya Uhuru Tanganyika wanaandika " SHEREHE ZA UHURU"
Wanakwepa neno Tanganyika.