Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Mimi ninaishi pembezoni mwa JIJI la DSM. Kuna KERO inayosnisumbua na hata siju nianzie wapi ama nimalizie wapi.
Hivi kuna sheria yoyote itakayoweza kutulinda wakazi against Makelele ya MIZIKI hasa kuanzia siku za IJumaa na Jumamosi? Kuna hizi sehemu ambazo hutumiwa na watu kunywa na kula. Zina majina lukuki! Mara kadhaa sasa ikifikia Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi Huwa kuna Kelele za kutisha!! KUBWA MNO. Kwani kuna bands hupiga live! NJE katika sehemu hizo ambazo zimezungukwa na makazi ya watu. Kuanzia saa 2 usiku mpaka saa 6 au mpaka 8 usiku wa manane kuna mfululizo wa miziki yenye makelele. Hivyo kwa wale walioko nyumbani karibu na maeneo hayo, huwezi kulala ama kusoma kitabu au hata kungalia any program katika luninga.
Sasa je JIJI na serikali za mitaa au watu wa mazingira wansemaje?
Ni kwa nini isiwekwe sheria ya entertainment ianayohusiana na makelele yote iwe ndani ya majengo na sio nje?? Je kwa sisi tunaokerwa tufanyeje?
Hivi kuna sheria yoyote itakayoweza kutulinda wakazi against Makelele ya MIZIKI hasa kuanzia siku za IJumaa na Jumamosi? Kuna hizi sehemu ambazo hutumiwa na watu kunywa na kula. Zina majina lukuki! Mara kadhaa sasa ikifikia Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi Huwa kuna Kelele za kutisha!! KUBWA MNO. Kwani kuna bands hupiga live! NJE katika sehemu hizo ambazo zimezungukwa na makazi ya watu. Kuanzia saa 2 usiku mpaka saa 6 au mpaka 8 usiku wa manane kuna mfululizo wa miziki yenye makelele. Hivyo kwa wale walioko nyumbani karibu na maeneo hayo, huwezi kulala ama kusoma kitabu au hata kungalia any program katika luninga.
Sasa je JIJI na serikali za mitaa au watu wa mazingira wansemaje?
Ni kwa nini isiwekwe sheria ya entertainment ianayohusiana na makelele yote iwe ndani ya majengo na sio nje?? Je kwa sisi tunaokerwa tufanyeje?