Hii nimeishuhudia jana wakati nasafiri kuja Mwanza kwa basi nikitokea Dar ambapo barabara kati ya Shinyanga na Ilula kuna tuta kila baada ya mita 200 kiasi sasa imewalazimu madereva wote Wa mabasi kurejea barabara ya zamani ya kupitia Old Shinyanga ambayo ni ya vumbi ili kuepuka kero hii.
Jamani je ni halali kweli highway kuwa na matuta mengi kiasi hicho kiasi cha kusababisha kero? Je hali ipo na nchi za wenzetu au ni bongo tu? Maendeleo tutayafikiaje kwa kutumia muda mwingi barabarani? Na uharibifu wa magari inakuwaje?
My take: Mamlaka husika naomba zichukue hatua za kuondoa haya matuta na kuweka alama za barabarani na kuweka
Jamani je ni halali kweli highway kuwa na matuta mengi kiasi hicho kiasi cha kusababisha kero? Je hali ipo na nchi za wenzetu au ni bongo tu? Maendeleo tutayafikiaje kwa kutumia muda mwingi barabarani? Na uharibifu wa magari inakuwaje?
My take: Mamlaka husika naomba zichukue hatua za kuondoa haya matuta na kuweka alama za barabarani na kuweka