walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,796
- 5,520
- Thread starter
- #41
Kabisa mkuu kama ulikuwepo hili kanisa mwanzo lilikuwa nyumba ya mtu ya kuishi akaona auze sasa ndio wameanzisha kanisa aisee mkuu unaijua kero acha tu ibada watu wanapolalamika sio ibada tena tukashindwa kulala bora hata wangekuwa wanaweka sauti ya chini wanawasha sauti ya juu kabisa sasa sisi hapa home ndio tupo karibu sana tunaangaliana na dirisha kiukweli ni usumbufu sanaHulali ndugu??
Nadhani sheria za ufunguzi wa hizi nyumba za ibada kwa sasa inabidi ziangaliwe upya!!
Huwezi kwenda kufungua nyumba ya ibada katikati ya makazi kwa kubadilisha matumizi ya nyumba!! Namaanisha mtu alijenga nyumba kwa ajili ya makazi anageuza linakuwa kanisa au msikiti!!! Au ana kinafasi kimebaki katika eneo lake basi anajenga kanisa hapo likiwa linapakan kabisa na nyumba za makazi ya watu!!
Mbona Wakatoliki hawafungui makanisa hovyohovyo? Na makanisa yao waliweka mbali na makazi. Wenzetu walijua juu ya hii kero