Hakika huu ni UNYAPARA mambo leo!
Barabara za mikoani kila kuchwao zinapitiwa na kila aina ya binadamu;
Viongozi msichokijua ni hiki
Huenda sheria na kanuni za PSU/ task force zipo vizuri, lakini utekelezaji wa trafiki huko barabarani unafanyika kwa uoga ili kurinda kibarua!
Yamkini inatakiwa dakika 10-15 za kusubilia kiongozi! LAKINI TRAFIKI HUKO BARABARANI RTO/DTO huwa wanaamua kuwagandisha watu (2~3)hrs KWA HOFU TU ya kulinda kazi wakati kiongozi hata bado hajaamka!
EBU FIKILIENI
Kuna watu wanatoka mikoa ya mbali sana anapogandishwa 3hrs ni hasara kubwa sana.
(Mnachokifanya ni sawa na Uhujumu uchumi wa wanaichi wenu wenyewe)
Viongozi tambueni huko barabarani Kuna watu wanawahisha dawa za mgonjwa ambazo yamkini zikiwahi saa moja tu mgonjwa angepona, lakini hufariki kwa sababu ya misafara yenu!
Nitoe RAI kwa Viongozi na wale PSU fuatilieni zile ODA mnazowapa Trafiki wafunge njia! Hakikisheni Zinajali mda!
Wapeni updates ya misafara yenu matrafiki huko barabarani ili wafanye kazi kwa weledi! Kuna trafiki huko barabaranj huwa hata hawajui Exactly estimate ya msafara hadi hudiliki kutumia simu zao kupiga simu kwa wenzao!
Tunaomia ni RAIA! Viongozi na PSU tunaomba hili mliangalie Upya!
Barabara za mikoani kila kuchwao zinapitiwa na kila aina ya binadamu;
- Wenye afya na wagonjwa wote wanategemea barabara hiyo hiyo.
- Wazima na maiti wote wanapitidhwa hapo
- wenye haraka na wasiyo na haraka
- Wenye bidhaa za kuoza na zisizo oza
- Wenye pesa ya kula na wasiyo na akiba ya kula..
- Madakitari na waganga
- Viongozi kwa hili Mnaharibu sana ratiba za watu,
- mnaharibu sana bajeti za watu
- Mnakwamisha matukio mengi sana ya watu
- Mnapanda mbegu ya chuki pasiposababu ya msingi
- Punguzeni Unyampara huu!
- Mnaonaje viongozi mkapanda ndege halafu magari yenu mkayakuta huko?
- Mnaonaje mkatoa japo taarifa siku moja kabila ili watu watafte mbadala wa safari?
- Mnaonaje mkatumia hata elkopita ili kuepusha acha kwa binadam wenzenu
Huenda sheria na kanuni za PSU/ task force zipo vizuri, lakini utekelezaji wa trafiki huko barabarani unafanyika kwa uoga ili kurinda kibarua!
Yamkini inatakiwa dakika 10-15 za kusubilia kiongozi! LAKINI TRAFIKI HUKO BARABARANI RTO/DTO huwa wanaamua kuwagandisha watu (2~3)hrs KWA HOFU TU ya kulinda kazi wakati kiongozi hata bado hajaamka!
EBU FIKILIENI
Kuna watu wanatoka mikoa ya mbali sana anapogandishwa 3hrs ni hasara kubwa sana.
(Mnachokifanya ni sawa na Uhujumu uchumi wa wanaichi wenu wenyewe)
Viongozi tambueni huko barabarani Kuna watu wanawahisha dawa za mgonjwa ambazo yamkini zikiwahi saa moja tu mgonjwa angepona, lakini hufariki kwa sababu ya misafara yenu!
Nitoe RAI kwa Viongozi na wale PSU fuatilieni zile ODA mnazowapa Trafiki wafunge njia! Hakikisheni Zinajali mda!
Wapeni updates ya misafara yenu matrafiki huko barabarani ili wafanye kazi kwa weledi! Kuna trafiki huko barabaranj huwa hata hawajui Exactly estimate ya msafara hadi hudiliki kutumia simu zao kupiga simu kwa wenzao!
Tunaomia ni RAIA! Viongozi na PSU tunaomba hili mliangalie Upya!