katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
Jamani unamkuta mtu anamke nampo geti moja anakusumbua kama mke wake ni mwanaume inakera hajui kuwa hata wewe huna mpango naye.
Nachukia ukiwa unapiga starehe zako unasikia hujambo umemkaje?
Mama hajambo?
Unaenda wapi nikusindikize?
Huhitaji kampani weekend?
Nani kasema mtu yeye anataka usumbufu mtu akiwa analipaga kodi kama mimi ileile ni ngumu kumkubali jamani tena kaoa ni dhambi kutesa familia ya mtu kisa nini?
Hata leo kaniona tu huyo naye katoka, kazi ipo mke wake ananinunia bila sababu hiyo na sinaga muda na waume za watu.
Kama wanaume wapo kama hao hapa acheni kutesa wadada single tena wale wanaoishi karibu yenu nini ambacho hamridhiki kwa wake zenu nini? Ila kuna wengine wanapenda na wanakubali wanavuruga familia za watu.
Nachukia ukiwa unapiga starehe zako unasikia hujambo umemkaje?
Mama hajambo?
Unaenda wapi nikusindikize?
Huhitaji kampani weekend?
Nani kasema mtu yeye anataka usumbufu mtu akiwa analipaga kodi kama mimi ileile ni ngumu kumkubali jamani tena kaoa ni dhambi kutesa familia ya mtu kisa nini?
Hata leo kaniona tu huyo naye katoka, kazi ipo mke wake ananinunia bila sababu hiyo na sinaga muda na waume za watu.
Kama wanaume wapo kama hao hapa acheni kutesa wadada single tena wale wanaoishi karibu yenu nini ambacho hamridhiki kwa wake zenu nini? Ila kuna wengine wanapenda na wanakubali wanavuruga familia za watu.