i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Ninawaletea experience yangu ilionitokea baada ya kupoteza SIM card yangu. Ilikuwa ya ijumaa kuu sikuiona, basi ijumaa kuu nikaamkia voda wakani jazia form niipeleke polisi service ilikuwa powakabisa. Sasa huko polisi madudu yao sijui nani alianzisha huu utaratibu na akawapa mamlaka polisi kusimamia kitu simple kama hiki isitoshe unatakiwa kulipia mia tano tuu na akazani polisi watakuwa very happy kuifanya hii kazi lol. Yaliyonipata huko mpaka leo sijapata huduma. Nilienda urafiki kituoni ijumaa nilimkuta mdada service yake ilikuwa nzuri aliniambia mhasibu hayupo mpaka jumanne ndo naweza pata hiyo risiti ya malipo form alikuwa nayo.
Akanishauri labda niende Oysterbay, ilivyofika huko nikakutana na afande mmoja akanielezea kuna utaratibu mpya online na unalipia huko. Nikamwambia nilishafanya hiyo process akaniambia basi nenda Chuma cha kwanza wataweza kukusaidia zaidi lakini akaniambia mara nyingi hawana bando la mtandao so inawezekana nisisaidiwe manake serikali kama haijaelewa majukumu yaliyowakabizi. Sasa nilivyofika humo chumba cha kwanza, nikamkuta mama mmoja Yani kwanza nimeingia namsalimiaanakukata jicho nini shida. Namwambia polisi report nimepoteza simcrd yupo na komputer ananiambia njoo jumanne leo hatuna bando.... nikamwambia hata nimuunganishe kwenye simu yangu akaniambia nisimfundishe kazi nije jumanne.
Yani hapo unaishiwa nguvu namiye hela niliyokuwa naitegemea kwa ajili ya sikukuu ilikuwa kwenye simcard hiyo. Ndo nimesubiria leo nikaenda mpaka central kwasababu kupo karibu na ofisini sasa nimefika huko itaratibu ulikuwa shakala baga nawale wamama wanaotoa hiyo huduma hawana kabisa customer service yaani wanaona watu kama watuhumiwa tuu na kuwajibu kwa madharau nilikaa pale masaa mawili mengine siwezi simulia ngojea niache..wakati anachukuwa maelezo nilipowaambia ninahisi simcard ilipotea nikiwa kwenye basi wakaniuliza wapi nikawaambia mbezi beachi wakaambiana muandikie Kawe wakagonga muhuri niende Kawe.
Sasa ikawaambia nishafika huku nusu siku nimepotezea hapa mnataka niende tena Kawe nanyie mnaweza toa Huduma. Majibu niliyopata hapo nilikuwa mdogo tuu nikaondoka. Nimefika Kawe saa kumi naambiwa wao hutoa hiyo huduma saa tatu mpaka saa saba. Jamani hii kitu inaingia akilini kweli?
Huyu aliyeona ili wazo zuri polisi wetu watukufu kujaza fomu Za shilingi miatano kweli hayajui masilai mapana ya jeshi letu la polisi.
Miye ushauri wangu haya mambo yarudi kwenye wenye mitandao yao tuhakikiwe na vitambulisho vya taifa ambaye hana aje kujieleza huko polisi
Akanishauri labda niende Oysterbay, ilivyofika huko nikakutana na afande mmoja akanielezea kuna utaratibu mpya online na unalipia huko. Nikamwambia nilishafanya hiyo process akaniambia basi nenda Chuma cha kwanza wataweza kukusaidia zaidi lakini akaniambia mara nyingi hawana bando la mtandao so inawezekana nisisaidiwe manake serikali kama haijaelewa majukumu yaliyowakabizi. Sasa nilivyofika humo chumba cha kwanza, nikamkuta mama mmoja Yani kwanza nimeingia namsalimiaanakukata jicho nini shida. Namwambia polisi report nimepoteza simcrd yupo na komputer ananiambia njoo jumanne leo hatuna bando.... nikamwambia hata nimuunganishe kwenye simu yangu akaniambia nisimfundishe kazi nije jumanne.
Yani hapo unaishiwa nguvu namiye hela niliyokuwa naitegemea kwa ajili ya sikukuu ilikuwa kwenye simcard hiyo. Ndo nimesubiria leo nikaenda mpaka central kwasababu kupo karibu na ofisini sasa nimefika huko itaratibu ulikuwa shakala baga nawale wamama wanaotoa hiyo huduma hawana kabisa customer service yaani wanaona watu kama watuhumiwa tuu na kuwajibu kwa madharau nilikaa pale masaa mawili mengine siwezi simulia ngojea niache..wakati anachukuwa maelezo nilipowaambia ninahisi simcard ilipotea nikiwa kwenye basi wakaniuliza wapi nikawaambia mbezi beachi wakaambiana muandikie Kawe wakagonga muhuri niende Kawe.
Sasa ikawaambia nishafika huku nusu siku nimepotezea hapa mnataka niende tena Kawe nanyie mnaweza toa Huduma. Majibu niliyopata hapo nilikuwa mdogo tuu nikaondoka. Nimefika Kawe saa kumi naambiwa wao hutoa hiyo huduma saa tatu mpaka saa saba. Jamani hii kitu inaingia akilini kweli?
Huyu aliyeona ili wazo zuri polisi wetu watukufu kujaza fomu Za shilingi miatano kweli hayajui masilai mapana ya jeshi letu la polisi.
Miye ushauri wangu haya mambo yarudi kwenye wenye mitandao yao tuhakikiwe na vitambulisho vya taifa ambaye hana aje kujieleza huko polisi