ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Itifaki izingatiwe.
Kwa wale wenzangu na mie tunaotumia usafiri wa daladala,ni kero gani mnazokumbana nazo.? Binafsi huwa nachoshwa sana na abiria wanaopiga simu kwa sauti huku wakieleza matatizo ya ndani kwao. Utafikiri hawatashuka jamani.
Kwa wale wenzangu na mie tunaotumia usafiri wa daladala,ni kero gani mnazokumbana nazo.? Binafsi huwa nachoshwa sana na abiria wanaopiga simu kwa sauti huku wakieleza matatizo ya ndani kwao. Utafikiri hawatashuka jamani.