masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Ndio maana kawaita wa shamba nyie wakuja Dar kama mimi.hiyo V8 umenunua shilingi ngapi manake mijitu mingine inaweza kununua v8 iliyotumiwa na mzungu miaka 10 kwa shilingi millioni 80 wakati V8 brand new ni shilling millioni 85 kisa kimetumiwa na mzungu wa ubalozi wa marekani upuuzi huo
V8 siyo Corolla unayotumia!!!!
Tafuta V8 ya MIAKA KUMI, na kama utaipata chini ya Tshs milioni 100 nijulishe iko wapi, achilia mbali V8 mpya!
Usiongee usichokijua, wanaojua kwamba hujui wanakucheka sasa hivi!