elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
Narudia kusema kaangalie vizuri umedandia treni kwa mbele braza.Mimi ni makini na usiniletee janja ya nyani! Hukum-quote huyo mtu unayesema, na ndio maana umerudi kufuta post yako!
Ningefuta nikamquote tena ina maana ingekuja chini ya post yako uliyo ni quote lakini bado iko pale pale.
Umedandia treni kwa mbele braza kubari tu kuwa muungwana hakutokufanya uonekane dhaifu.