Habari Tanzania , Startimes inapenda kuwapa utaratibu wa namna ya kuweza kupata LOCAL CHANNEL BURE kwenye King’amuzi chako kama ifuatavyo :
1. FTA - Dikoda ambazo zinabakiza chaneli za nyumbani bure ( Free Local Channel )
a. DTT(Antenna) FTA =Tsh 89,000/=
b. DTH (Dish) FTA = Tsh 135,000/=
2. Subsidized TV Dikoda hizi niambazo hazibakizi chaneli za nyumbani.
a. DTT Subsidized TV Decoder ( Antenna ) = Tsh 34,000/=
b. DTH Subsidized TV Decoder ( Dish ) = Tsh 78,000/=
Endapo ulinunua Subsidized TV decoder na unahitaji kuona local channel bure - FTA Decoder , inabidi ufike dukani kwetu, ukiwa na dikoda yazamani na utaweza kupatiwa decoder ingine ya FTA, maelezo zaidi 0764700800.
Kubadili dikoda ya antenna kuwa FTA ni Tsh 55,000/=
Na kubadili dikoda ya Dish kuwa FTA ni Tsh 57,000/=
Hii star times si wanaushirikiano na TBC? bila shaka wamepata baraka zote za ccm ukizingatia uchaguzi unajongea na huku ndo pesa ya kampeni inapokusanywa!
Startimes nilishawapigia simu na kuwambia kuwa sitalipia king'amuzi chao na nitafanya kampeni ya kuhakikisha wateja wao ninaowafahamu wasilipie na wanaotaka kununua ving'amuzi wasiingie kwenye mtego wao.
Hii ilikuja baada ya kutufanyia uhuni wa kuongeza bei za ving'amuzi bila ya kutupa taarifa wateja. Unalipia bei uliyoizoea unajikuta unaletewa sms kuwa utatazama hadi tar fulani. Humalizi mwezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.