Kero: TAZARA (MFUGALE FLYOVER) kutofatwa sheria na utaratibu wa barabarani hasa wakati wa usiku imekuwa donda sugu

Lee

JF-Expert Member
Jul 31, 2013
43,905
150,212
Wanajamvi salaam, kwa kipindi nmekuwa mtumiaji wa barabara ya nyerere road inayopita Tazara hasa pale flyover ,wakati wa usiku kumekuwa na changamoto kubwa ya kutofata utaratibu wa sheria barabarani pale kwenye Junction ya kutokea airpot, taifa , au mjini na yale magar yanayotoka buguruni kila nikipita nakutana na gombania Goli wakati taa zipo na mda mwingine askari wa barabarani wanakuwepo , ila tatizo kubwa linasababishwwa na magari makubwa yanayotokeq bandarini ambayo huwa ndo chanzo cha kutofata utaratibu wa mataa, hii hali inakera na unaweza kaa foleni ata lisaa kama ni mwoga barabarani
IMG-20211223-WA0000.jpg


IMG-20211223-WA0001.jpg
 
I have a solution! Yale mataa ya buguruni yaondolewe wale watu wanaotokea mnyamani kwa wanaoenda mjini wavutwe na subway mpaka hapa kwenye U turn ya sheli kama unaelekea njiapanda kigogo kabla ya lile daraja njia hii iwe one way yaani kwa wanaoenda uelekeo huo.
Then mtu ataingia highway na kuja kukunja hii kona ya buguruni chama kwaajili ya kwenda mjini.
Wanaoenda kwa mnyamani kutokea hii barabara ya malapa waende mpaka kwenye taa za tazara then pale watapiga U turn na kurudi kuja kuingia kwenye hii njia hapa kwa kifupi yale mataa ya buguruni yanapaswa kuondoka.
 
Lakini pia hii miradi ya ICD haitakiwi kuwa katikati ya miji kuna mwengine anayajenga tu kule maeneo ya Yombo na kiwalani taa nyekundu na barabara ya mchicha “Tena kwenye eneo la hifadhi ya reli “ anyway si agenda hii
Malory hayatakiwi kuingia mjini mizigo isafirishwe mpaka nje ya miji hii itapelekea kukua kwa miji na kuimarisha shughuli za kiuchumi katika maeneo husika peleka ICD zote kibaha huko au chalinze na Mkuranga na Msata.
 
I have a solution! Yale mataa ya buguruni yaondolewe wale watu wanaotokea mnyamani kwa wanaoenda mjini wavutwe na subway mpaka hapa kwenye U turn ya sheli kama unaelekea njiapanda kigogo kabla ya lile daraja njia hii iwe one way yaani kwa wanaoenda uelekeo huo.
Then mtu ataingia highway na kuja kukunja hii kona ya buguruni chama kwaajili ya kwenda mjini.
Wanaoenda kwa mnyamani kutokea hii barabara ya malapa waende mpaka kwenye taa za tazara then pale watapiga U turn na kurudi kuja kuingia kwenye hii njia hapa kwa kifupi yale mataa ya buguruni yanapaswa kuondoka.
Kuna mtu ashawahi nambia eti wameyapangilia kwa timing, the way yanavowaka na kuzima yanasupport each other ,kwamba incase folen ni ya kawaida au haipo mtu akitoka tazara anayawahi ya buguruni

Japo hapo kwenye kuwahi nahisi ndo chanzo cha ajali nyingi pale serengeti mtu akitoka taifa anayawahi ya serengeti
 
Lakini pia hii miradi ya ICD haitakiwi kuwa katikati ya miji kuna mwengine anayajenga tu kule maeneo ya Yombo na kiwalani taa nyekundu na barabara ya mchicha “Tena kwenye eneo la hifadhi ya reli “ anyway si agenda hii
Malory hayatakiwi kuingia mjini mizigo isafirishwe mpaka nje ya miji hii itapelekea kukua kwa miji na kuimarisha shughuli za kiuchumi katika maeneo husika peleka ICD zote kibaha huko au chalinze na Mkuranga na Msata.
Umeongea point
 
Kuna mtu ashawahi nambia eti wameyapangilia kwa timing, the way yanavowaka na kuzima yanasupport each other ,kwamba incase folen ni ya kawaida au haipo mtu akitoka tazara anayawahi ya buguruni

Japo hapo kwenye kuwahi nahisi ndo chanzo cha ajali nyingi pale serengeti mtu akitoka taifa anayawahi ya serengeti

Hakuna kitu kama hicho 9/10 pale buguruni lazima akae askari maana njia ya mnyamani ni ndogo haiwezi kupokea idadi ya magari yanayotoka mjini kwa wakati mmoja yakitumia njia hiyo hiyo kutokea.
Lakini pia vile vituo vya daladala vimejengwa kizamani sana vinasababisha msongamano usikokuwa na ulazima
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hakuna kitu kama hicho 9/10 pale buguruni lazima akae askari maana njia ya mnyamani ni ndogo haiwezi kupokea idadi ya magari yanayotoka mjini kwa wakati mmoja yakitumia njia hiyo hiyo kutokea.
Lakini pia vile vituo vya daladala vimejengwa kizamani sana vinasababisha msongamano usikokuwa na ulazima
Japo walijiongeza kituo cha daladala cha hapo mataa naona siku hizi walikisogeza mbele kidogo ..

Ila usiku ni usumbufu wa hali ya juu either upite juu ugeuzie quality centre
 
Umeongea point

Reli itumike na bandari pia zitumike pakiza mzigo kwenye mabehewa au upakizwe kwenye meli ndogo za mizigo shusha Bagamoyo au zile bandari nyingine ndogo za njia hii ya kusini msanga huko na kwengineko kisha pakiza kwenye malori peleka sehemu usika.
Hapa unaongeza vyanzo vya mapato unatengeneza ajira na kukuza uchumi
 
Reli itumike na bandari pia zitumike pakiza mzigo kwenye mabehewa au upakizwe kwenye meli ndogo za mizigo shusha Bagamoyo au zile bandari nyingine ndogo za njia hii ya kusini msanga huko na kwengineko kisha pakiza kwenye malori peleka sehemu usika.
Hapa unaongeza vyanzo vya mapato unatengeneza ajira na kukuza uchumi
💯💯💯💯
 
Japo walijiongeza kituo cha daladala cha hapo mataa naona siku hizi walikisogeza mbele kidogo ..

Ila usiku ni usumbufu wa hali ya juu either upite juu ugeuzie quality centre

Huwezi kuua kituo cha mabasi buguruni lakini unaweza kufanya maboresho.Huu mfumo wetu wa kuweka vituo vya mabasi tena ndani ya highways ni mfumo wa kizamani sana .
Sehemu zote zenye circulation na tabia kama za buguruni zinahitaji vituo vya ndani tumezoea kuita terminal station hivi unaweka kituo pale external sijui mwenge sijui magomeni au manzese halafu unategemea highway itafanya kazi vizuri ?
 
Huwezi kuua kituo cha mabasi buguruni lakini unaweza kufanya maboresho.Huu mfumo wetu wa kuweka vituo vya mabasi tena ndani ya highways ni mfumo wa kizamani sana .
Sehemu zote zenye circulation na tabia kama za buguruni zinahitaji vituo vya ndani tumezoea kuita terminal station hivi unaweka kituo pale external sijui mwenge sijui magomeni au manzese halafu unategemea highway itafanya kazi vizuri ?
Mkuu umeongea point...
 
Back
Top Bottom