Ndugu Wanabodi,
Hii tabia wanayoifanya hawa ndugu zetu imekuwa ni kero sana kwangu. Kwa muda mrefu hawa jamaa hasa zinapokaribia sikukuu maarufu za kidini, huanzisha mgawo wa umeme mida ya usiku mnene. Hivi nnaomba kuwauliza, huwa mnafanya hivyo ili tuibiwe na vibaka wa mifugo?
Ni jambo lisilo siri kwamba matukio ya uhalifu huongezeka sana kipindi cha sikukuu. La kushangaza mgao unaanza ghafla, na hivi nnavyoandika wamekata tangu saa 7 na kuna giza balaa huko nje. Mnataka tuwaeleweje?
Hii tabia wanayoifanya hawa ndugu zetu imekuwa ni kero sana kwangu. Kwa muda mrefu hawa jamaa hasa zinapokaribia sikukuu maarufu za kidini, huanzisha mgawo wa umeme mida ya usiku mnene. Hivi nnaomba kuwauliza, huwa mnafanya hivyo ili tuibiwe na vibaka wa mifugo?
Ni jambo lisilo siri kwamba matukio ya uhalifu huongezeka sana kipindi cha sikukuu. La kushangaza mgao unaanza ghafla, na hivi nnavyoandika wamekata tangu saa 7 na kuna giza balaa huko nje. Mnataka tuwaeleweje?