MYAO WA KASKAZINI
Senior Member
- Aug 10, 2015
- 133
- 59
Nyakati za asubuhi na jioni huwa inakuwa kero sana kwa wakazi wa jiji wanaotumia usafiri wa mwendokasi.
Abiria ni wengi sana lakini mabasi ni machache sana muda hiyo.
Madereva nao wanaringa kiasi kwamba wapo tayari kuondoka Kivukoni kituo cha mwisho bila abiria.
Mamlaka husika yatazameni haya ili kuboresha!!!
Abiria ni wengi sana lakini mabasi ni machache sana muda hiyo.
Madereva nao wanaringa kiasi kwamba wapo tayari kuondoka Kivukoni kituo cha mwisho bila abiria.
Mamlaka husika yatazameni haya ili kuboresha!!!