Time Traveller
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 314
- 302
Wahusika Wa hili tafadhalini sana mlifanyie kazi suala hili. Yaani dirisha za tellers zipo kumi ila zinazofanya kazi ni NNE tu. Huu ni uzembe uliopitiliza...au sababu ni ya serikali ndio muwe wazembe hivyo. TTCL walianza hivo wakapotea jirekebisheni ushindani ni mkubwa wateja tunahama.