hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,446
- 6,308
Jamani mimi nina Kero yangu kubwa kutoka kwa kitengo cha Dharula Tanesco mvezi beach, unaweza kupiga simu leo j3 ukawaeleza shida ya umeme kwenye nguzo zilizopo nyumbani wakaja baada ya siku tatu, sasa kama hilo tatizo linamadhara si mtakuta watu wamekufa? Hii tabia sio mzuri, tangu juzi sina umeme nyumbani kwangu kutokana na nguzo kulipuka nimetoa Taarifa leo ni siku ya tatu na hawajafika, kila nikipiga simu wananiandikia taarifa na kunambia wanakuja na hawatokei, kama hiyo huduma haipo au mnaitaji tuilipie basi mtuambie tujue moja