Bruno mars
Member
- Apr 2, 2017
- 12
- 6
Kilombero huko, kila mwezi lazima utenge budget ya Uhakiki. Mpaka sasa bwana mdogo ametumia zaidi ya 213000/= kwa nauli, photocopy
Sio FAIR!
Sio FAIR!
Nimekupata,Ulanga na Kilombero ni wilaya mbili tofauti
Heading yako na barua uliyoweka haviendani.
Jitahidi ukielewe kitu vizuri kabla hujaanza kukosoa.
Nimekupata,huwa nazichanganya hizi wilaya mkuu.
Thanks.