Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Kumekuwa na uzembe wa ajabu sana unaoendelea kituo cha Mawasiliano. Magari ya Kawe/Tegeta/Makumbusho yanatoka Mbezi yanasema yanaishia Mawasiliano wakifika wanapaki sehemu ya kwenda Mbezi. Ukiuliza wanasema Kawe hatuendi. Mbaya zaidi unashuka unaona trafiic wako ndani ya kituo, ndugu zanguni SUMATRA hizi kazi muache kushinda maofisini tu tuwajibike wananchi wapate haki zao.
Watu wa Kawe wamejazana kibao magari yote yapo stand kuelekea Mbezi.
Kamanda mpinga tusaidiane kwa hili uncle wanatesa watu hawa jamaa.
Watu wa Kawe wamejazana kibao magari yote yapo stand kuelekea Mbezi.
Kamanda mpinga tusaidiane kwa hili uncle wanatesa watu hawa jamaa.