Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Leo nilikuwa nacheki baadhi ya clip za mpira .hivi wale askari wanaolinda pale ndani nao wanaruhusiwa kuangalia mpira?
kwani hawana MACHO??Leo nilikuwa nacheki baadhi ya clip za mpira .hivi wale askari wanaolinda pale ndani nao wanaruhusiwa kuangalia mpira?
deh deh deh! nimekugongea senks greti thinka GP.kwani hawana MACHO??
kwani hawana MACHO??
Wacha wale maisha, hiyo ndo posho ya kuwa ktk geshi ra porishi. By the way hatupo Afghanistan...
unajua unachoongea.? Jk aliporukiwa ilikuwa ni Afganistani?
Duh, Jk tena ?? Yaani thread ni kwa ajili wa walinzi wa rais au askari uwanjani??
Wewe si unamaanisha bongo tambarare?kama ndo ivo wamewekwa wa nini sasa pale.si wangepewa viti kabisa sasa?