Vege
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 338
- 365
Hii barabara la kenyatta road almaarufu kama Shinyanga road ni kero sana kutokana na foleni sana wakati wa asubuhi na jioni tunaomba jiji lifanye utaratibu kwa kuipanua hiyo barabara japo iwe hata njia 3 maana tunakoelekea baada ya miaka mitatu minne hali itakua si nzuri ukizingatia ndo njia kuu ya kutoka na kuingia katika jiji