ni kweli viongozi wa afrika wamekosea sana ila kwa hili nawaunga mkono,hiki chombo cha icc ni cha kinafiki sana mwanzoni na mimi nilikitetea kama wewe juu ya kuwakamata viongozi wanaokiuka haki za binadamu ila baada ya kushindwa kuwakamata akina blair na bush kwa kuua raia wasiokuwa na hatia nchini iraq ndipo nilianza kukidharau na double-standard zake.
kwa nini viongozi walisaini mkataba wa icc??walilazimishwa?hiyo kesi itatumika kumblackmail kenyatta.WAZUNGU HAWAMWANGALII MTU USONI.WANAANGALIA MASLAHI TU.NUKTA.