Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,498
- 9,279
NAIROBI,KENYA
RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amesisitiza kwamba hakuna fedha za kuwalipa wauguzi wanaogoma akiwataka wafanyiakzi wote wa serikali kustahamili hali ya uchumi inayokabili taifa kwa sasa.
Alisema hayo alipokuwa akizungumza kwenye ziara yake huko Kisii. Rais alisema serikali ina mambo mengi ya kufanya na wala sio kuongezea wafanyakazi mishahara kila mwaka.
Kauli yake imuengwa mkono na kinara wa ODM Raila Odinga ikiwa ni siku tano baada ya wauguzi wanaogoma kukaidi agizo la kusitisha mgomo wao.
Wakati huo huo Rais Kenyatta aidha amewaonya wale wote wanaoedeleza ufisadi serikali akisema watakabiliwa kisheria.
RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amesisitiza kwamba hakuna fedha za kuwalipa wauguzi wanaogoma akiwataka wafanyiakzi wote wa serikali kustahamili hali ya uchumi inayokabili taifa kwa sasa.
Alisema hayo alipokuwa akizungumza kwenye ziara yake huko Kisii. Rais alisema serikali ina mambo mengi ya kufanya na wala sio kuongezea wafanyakazi mishahara kila mwaka.
Kauli yake imuengwa mkono na kinara wa ODM Raila Odinga ikiwa ni siku tano baada ya wauguzi wanaogoma kukaidi agizo la kusitisha mgomo wao.
Wakati huo huo Rais Kenyatta aidha amewaonya wale wote wanaoedeleza ufisadi serikali akisema watakabiliwa kisheria.