Akili za mafenesi za ufipa hiziUchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!
Tena haswa pale data validity and reliability for 7.2 is questionable.Uchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!
Nilikuanbia juzi tu bajeti yenu haipiti $14 billion mwaka huu yani iko stagnant sawa na mwaka Jana.
Akili zako zinakuambia Wakenya wanaishi vizuri?? Ama kweli we boga.. Watu wanaishi kwa mlo mmoja, vijana karibia asilimia zote hawana kazi hata za ndani afu unasema wanaishi vyema nchi nzima inamilikiwa na watu asilimia 10 tu 90 iliyobaki maskini wa kutupwaUchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!
Rudi kule kwenye majukwaa yenu ya mmu, huku umepotea njiaUchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!
Mkuu mada zingine unajipima na uwezo wako au taaluma yako ukiona sio uwanja wako wa kujidai usichangie bali unasoma maoni ya wadau wengine waliokuwa na ufahamu wa kutosha juu ya suala husika.Uchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!
Tena haswa pale data validity and reliability for 7.2 is questionable.
Wewe akili yako umeamua kuipachika wapi.? 4 na 7 ipi kubwa?Uchumi ukikua kwa 7.2 unasaidia nini kwa mwananchi wa kawaida, na kunatatizo gani ukikua kwa 4.9 kama wananchi wanaishi vyema?!