Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Baada ya jana kupongezwa kwa namna alivyoyapokea matokeo ya kesi ya uchaguzi kwa ustahimilivu, leo wakati akiongea na wajumbe wa chama chake uvumilivu ulimshinda na kuwaita wale majaji 4 kati ya 6 walioipinga tume ya uchaguzi kuwa ni wakora yaani wahuni. Source Star Tv taarifa ya habari!