:A S 8: a new dawn for Kenyans
M7 na Kagame naona wapo pia katika meza Kuu. Jamani natumaini hii itaweza kuweka tumaini kwa watanzania nao kuanza kufikiria kuachana na 'kuweka' viraka katika 'godoro lililochakaa':smile-big: na 'kununua godoro jipya'
Bw. Raisi Bashir wa Sudan yupo pia. Je Kenya watamkamata huyu?
Mkuu nadhani AU walishakuwa na resolution ya kukataa hati ya kukamatwa kwake so kwa nchi zetu yeye anapeta tu
mwendo wa kulindana mpaka pale atakapoachia madaraka kama Pinochet wa Chile. Waafrika ndo tulivyo.
Hiki ni kiapo kipya kulingana na katiba mpya!
Naona Amolo Odinga ndo anakula naye kiapo kipya .....anashangiliwa katika kila neno analosema kwenye kiapo.Jamaa mpiganaji sana huyu.