Mbeere is a dry area and what you see is simply dryness, not poverty. The averageMbeere is still richer than the average Tanzanian. Travel there and see.Ila kunaonekana kuna umaskini na ufukara mno, cheki kulivopauka na watu walivyochakaa kwa kukosa matumaini
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kunaonekana kuna umaskini na ufukara mno, cheki kulivopauka na watu walivyochakaa kwa kukosa matumaini
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 uko ni kujifariji tu Wakenya mnajituma linapokuja swala la kuhujumu taifa lenu tu, yahani wizi kwa kwenda mbele yahani ukiona wakenya kumi basi jua nane kati yao ni wezi wazuri tu.Hayo ni maeneo ya kijijini halafu ni jimbo ambalo lipo maeneo kame nchini, pia wamewahi kukumbwa na mashambulizi ya nzige, hata hivyo licha ya yote hayo bado hauwezi kuwalinganisha hata na maeneo yenye rotuba Tanzania, utakuta hao Wakenya wako mbele.
Wakenya hujituma licha ya changamoto za kimazingira.
😂😂 uko nikujifariji tu wakenya mnajituma linapokuja swala la kuhujumu taifa lenu tu, yahani wizi kwa kwenda mbele yahani ukiona wakenya kumi basi jua nane kati yao ni wezi wazuri tu.
Kama kupo rich, kwanini wamkurupushe huyo MP wenu?Mbeere is a dry area and what you see is simply dryness, not poverty. The averageMbeere is still richer than the average Tanzanian. Travel there and see.
Hahahaha, Tanzania has 3times number of dollar Millionaires than Kenya, population below poverty line is 26%, while Kenya is 38%, unemployment rate Kenya is 48%, in Tanzania is 22%, in Tanzania everybody has access to free land for food production, there is no hunger.Mbeere is a dry area and what you see is simply dryness, not poverty. The averageMbeere is still richer than the average Tanzanian. Travel there and see.
Haya ndio maisha ya micccm duh!!!Taarifa za huu uzi zinapaswa ziwape fundisho fulani Watanzania, muache kuishi kwa mazoea, mpo kwenye kipindi cha kampeni, wanakuja kuwaambia watakachowafanyia, muache kufia chama ilhali mpo maskini wa kutupwa
Je wewe uko kwa hawa 66% wasio na elimu? Kazi yenu kuimba mapambio mkikesha kuponda Kenya.
Kwahivyo masikini ni wale ambao huwa wanawawajibisha wawakilishi wao na matajiri huwa hawana kero ambazo wanategemea zitatuliwe na viongozi wao? Hongera kwa kutumia kichwa chako kwenye shughuli moja tu ya kubebea meno.Kama kupo rich, kwanini wamkurupushe huyo MP wenu?
Kadanganye watoto wenu walioko kwa lockdown.
hawa ni boda boda riders 😶Ila kunaonekana kuna umaskini na ufukara mno, cheki kulivopauka na watu walivyochakaa kwa kukosa matumaini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo Mazingira inaonekana pagumu sana aisee, kama sayari nyingine?hawa ni boda boda riders
Hivi wakenya mnapata wapi ujasiri wa kuzungumza na Tanzania kuhusu politicians wenu wasivyowajibika kwa wananchi badala yake wao hujilimbikizia Mali.Kwahivyo masikini ni wale ambao huwa wanawawajibisha wawakilishi wao na matajiri huwa hawana kero ambazo wanategemea zitatuliwe na viongozi wao? Hongera kwa kutumia kichwa chako kwenye shughuli moja tu ya kubebea meno.
Climate inafaa sana kulima miraaHayo Mazingira inaonekana pagumu sana aisee, kama sayari nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, Kenya seems to be so poor,Mbeere is a dry area and what you see is simply dryness, not poverty. The averageMbeere is still richer than the average Tanzanian. Travel there and see.
wana Lima miraa ,,, actually in real life they're not poorHapana mkuu, Kenya seems to be so poor,
What do those poor people do for their lives ?
Poleni kwao
Sent using Jamii Forums mobile app