Kenyans in the diaspora sent back home remittance worth $ 3 billion in 2020

Hahahah, si bora wanaotandikwa mboko na watawala wao kuliko Wakenya wanaotandikwa Mboko na Wachina
Halafu Mbona watz wengi sana tunezurula duniani, mfano mimi binafsi nimepiga misele sana hapo Kenya, Uganda, Tunisia, Turkey na Germany, Na wala sioni kama ni jambo la ajabu

Wabongo mnatandikwa na Wachina kungfu licha ya kupigwa na watawala wenu, nyie legelege mnapigwa na wageni na pia mnapigwa na watawala wenu, kwanza mwanamke anapiga mijitu ya kiume mnalazwa chini kama mazombi, hovyoo sana nyie watu, na mlivyo maskini kwenu huko na mlioshindwa kujituma tunawafunika hata kazi za diaspora kwa mlivyo wazembe wasiojua hata English.
Hebu soma hizi taarifa hapa uone mnavyopigwa na Wachina kila siku, tena kungfu Raia wa China watimuliwa kwa kuwapiga makonde Watanzania
 
Pesa ya tourism ni matokeo ya production within the country, remittance ni sawa na kuomba, there is no any production in Kenya which matches with that amount of money. Matokeo yake too much money in the country but very few goods and services to spend on, inflation will be Skyrocketing, Economy shall never be stable and very unpredictable.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Since when did foreign exchange lead to economic instability? Why then do you market your tourism spots to foreign travellers? Why do you export gold and other valuables outside your country? Are these not sources of foreign income? Ama inakua tu mbaya Kenya ikipokea nyingi kuwaliko? Poor souls
 
Inflation ya Kenya iko bambam. Imechezea chini ya 10% kwa miaka nyingi sasa. Halafu hio pesa haitumiki tuu kwa matumizi ya kila siku bali inatumika pia kufanya investments ikiwemo kununua mashamba na viwanja na kujenga majumba na kadhalika.
In fact most of this money goes into investment.
 
In 2018, Kenyans abroad remitted more money than the rest of east African countries combined. The amount of money Kenyans sent back home that year eclipsed those sent by Tanzanians, Ugandans, Rwandese, Burundians, Sudanese and Ethiopians combined! Na Watu bado wanapiga kelele hapa JF

 
Hii nchi nazani kwa sasa hata walioko nje wanaogopa kutuma pesa Tanzania.

India kama sijakosea ndo nchi ambayo Diaspora wake wanaongoza kwa kutuma nyumabani pesa nyingi kuliko nchi yoyote ile Duniani.

Kenya hawako mbali Trlion 7 na ni pesa mingi sana kwa uchumi wa nchi.

Tuendelee kuongozwa na washamba kwanza.
Screenshot_20210116_163145_com.facebook.katana.jpg
 
Hii nchi nazani kwa sasa hata walioko nje wanaogopa kutuma pesa Tanzania.

India kama sijakosea ndo nchi ambayo Diaspora wake wanaongoza kwa kutuma nyumabani pesa nyingi kuliko nchi yoyote ile Duniani.

Kenya hawako mbali Trlion 7 na ni pesa mingi sana kwa uchumi wa nchi.

Tuendelee kuongozwa na washamba kwanza.View attachment 1679026
Wewe ulitakaje kwa mfano
 
Kupokea hela nyingi kidogo kutoka nje ya nchi imekuwa kama kutoa bikra ya mdada mwenye miaka 25+
 
Tanzania lipo tatizo tafsiri sheria ya kutakatisha pesa wafanyabiashara madini wanasumbuliwa sana ili hali wana nyaraka.
 
Hii nchi nazani kwa sasa hata walioko nje wanaogopa kutuma pesa Tanzania.

India kama sijakosea ndo nchi ambayo Diaspora wake wanaongoza kwa kutuma nyumabani pesa nyingi kuliko nchi yoyote ile Duniani.

Kenya hawako mbali Trlion 7 na ni pesa mingi sana kwa uchumi wa nchi.

Tuendelee kuongozwa na washamba kwanza.View attachment 1679026
Tz tilikuwa huko ila now a day wamesusa kutokana na sheria ngumu za ndani. Kweli maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom