Kenyans break record in Prague race

Kwa hiyo wale akina Kip... na Chep... wanaotoka Uganda sio Wakalenjin? Hizo subgroups zipo karibia kwenye makabila yote Afrika.
Hata Waluo kwa Uganda wanaitwa Waacholi, hilo halifanyi wasiwe kitu kimoja.

Punguza ujinga kidogo.
Dude unaelewa haya maneno. Actually I was suprised kupata akina Ochieng na Omondi from Uganda
 
Dude unaelewa haya maneno. Actually I was suprised kupata akina Ochieng na Omondi from Uganda

Waacholi wa Uganda ni kitu kimoja na Waluo wa Tanzania na Kenya.
Majina mengi ya sasa hivi ya makabila yetu ni bandia.


Nashangaa hata wenzako wanaowakataa 'Wakalenjin' wa Uganda wakati marafiki wangu Wakalenjin wanawajua hao watu kuwa ni ndugu zao.

Waluo wapo pembezoni mwa Ziwa Victoria nchi zote tatu.
 
Waacholi wa Uganda ni kitu kimoja na Waluo wa Tanzania na Kenya.
Majina mengi ya sasa hivi ya makabila yetu ni bandia.


Nashangaa hata wenzako wanaowakataa 'Wakalenjin' wa Uganda wakati marafiki wangu Wakalenjin wanawajua hao watu kuwa ni ndugu zao.

Waluo wapo pembezoni mwa Ziwa Victoria nchi zote tatu.
Waluo ambao wapo pembezoni mwa ziwa Victoria upande wa Uganda sio waganda Bali ni wakenya walioenda huko Kwa ajili ya uvuvi ,fahamu kua acholi na lang'i hawapo karibu na ziwa Victoria Kwa vyovyote vile,Jina omondi na ochieng sio issue watu wanatumia majina Tu because of many years of integration .Mimi ujombani Kwa mamangu ni Uganda na na wale binamu zake ambao ni waganda mbona wengine wanatumia majina ya kikenya ilihali hawana hata chembechembe ya damu kutoka Kwa hayo makabila wanayotumia majina Yao? Kuna jina lipo hapa Kenya na lipo Tanzania na hata utalipata Zambia ,Kwa mfano tu waluhya wengi wanatumia majina ya kijaluo ilihali hawana hata ujaluo ndani Yao.
 
You might actually be right. The Sebei of Uganda are not a sub-tribe of the Kalenjin.

Sebei are called Sabaot in Kenya. All are kalenjins divided by colonial borders. It's like Maasai of Kenya and Tanzania.

Hapa wikipedia

The Sebei live primarily on the slopes of Mount Elgon in eastern Uganda.[2] They number about 275,000 people and occupy the districts of Bukwa, Kapchorwa and Kween. Their territory borders the Republic of Kenya which is a home to more than five million Kalenjin, a large ethnic group to which the Sebei belongs. The Sebei, now known mainly as Sabiny, speak Kupsabiny, a Kalenjin dialect spoken by other smaller groups of Kalenjin stock around Mount Elgon. The Sebei and Kenyan smaller groups (Book, Kony, Mosoop, Someek, Bongomek) inhabiting the hills of Mount Elgon collectively are referred to as the 'Sabaots.
 
Sebei are called Sabaot in Kenya. All are kalenjins divided by colonial borders. It's like Maasai of Kenya and Tanzania.

Hapa wikipedia
The history of maasai and sebei of Uganda is very different,unless you are not a historian then you will argue in that manner. The maasai of Kenya and Tanzania were one people under one ruler and even the language is one, The community split due to wrangles of leadership after the death of their ruler and one faction moved south to present day Tanzania and the other remained in present day Kenya, which is not the case with sabaot and sebei ; therefore it's inconsequential to use maasai community as a point of reference . Kenya and Uganda were under Imperial British East Africa that managed two territories, the word kalenjin was coiled in 1940s for administrative purposes, kalenjin is a collection of 8 tribes that were put together for a special purpose to stop the kikuyu influence among the native Africans . They were never one in the first place and the word only refers to Highland Nilotes of Kenya whether they are people who resembles kalenjin in Ethiopia, Sudan or Uganda those are not kalenjin . Am not trying to dispute the fact that sebei share some similarities with sabaot ,but my point is that kalenjin only refers to Highland Nilotes of Kenya , and am submitting to us that we should not use Wikipedia as a tool of study or research because the information on Wikipedia is second hand just go to the library and read it's only 200 shilling at the Kenya archive .
 
Back
Top Bottom